Usijiaminishe katika kufeli. Chadema wanahitaji kusuka safu yake ya kampeni. Bila hivyo utasikia kilio mwishoni na majibu yake yatakuwa kama tunavyoleta ushauri hapa.
Baado kuna haja ya Chadema kuangalia namna bora ya kufanya Kampeni na kuunda timu ya maana ya kitaifa. Lissu hata angekuwa...
Ukiangalia kiundani unaona kwa nini CCM inaweza shinda uchaguzi huu kiurahisi sana.
Ni namna walivyojipanga katika Kampeni zao. Kila Mkoa na Wilaya unaona kuna mtu mwenye Ushawishi ndani ya Chama anasaidia kufanya kampeni za wagombea Ubunge au Udiwani. Nimeona Kinana, Kikwete, Ndugai, n.k...
Ukisema hayo napata shida. ACT hawana historia na wasipende mabadiliko yasio na mizizi kama CDM walichofanya. Pia usisahau NCCR nao wapo.
Tunakoelekea kunahitaji ueledi wa hali ya juu sana zaidi ya kupapalikia mafanikio.
ACT na Chadema ndio wanapambania nafasi ya pili… so usitegemee kuna mtu...
Mkuu, CCM hii haiwezi kutolewa na mtu mwenye haiba ya Membe. Membe hata baadhi ya mikoa hajulikani na bahati mbaya hana backup kama ya Lowassa.
Zaidi ataiua ACT kabla haijaanza kupumua.
Sikatai Membe kujiunga na ACT ila si kupewa kugombea Urais.
Ana haki zote ila asifikiri CCM wajinga mpaka Membe anaondoka.
Kama mpinzani wa kweli ampe miaka 5 tu atapata jibu.
Nasema ingawa najua wengi hawapendi kusikia hasa kwa vile hawana maeneo ya kukimbilia. Anachofanya ZZK, Zitto ni sawa na kuhalalisha utoaji wa mimba katika chama chake. Wakongwe wameshindwa anachofanya kwa sasa. Chadema wamefanya wakagundua kuwa ina shida. Mwaka huu wameelewa nini maana ya...
Ndugu yangu JF nipo sana. Najua sana wafuasi wa watu wanafanya kudharau wengine ila wafuasi wa hoja hujenga hoja na si matusi. Mwisho wao ni tofauti kidogo siku zote.
Sijawahi sema CHADEMA inakufa kama chama changu ila kila wakati najitahidi angalau watu waelewe nini mstakabali wa chama chao. Hivyo hivyo sitapinga mawazo yako yako.
Inapofika mwafaka ndio unaweza gundua nani ni nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.