Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu, mnavyowatendea wadada mnafikiri ni vizuri au wao hawaumii? mnawapanga kama wako kwenye foleni za Dar, ukipigiwa uko kwa huyu unajifanya nimfanyakazi mwenzio anakusumbua hupokei, ukienda kwake mwingine akapiga ni hivyo hivyo. Huyu dada alikuwa sahihi kwani...
Inawezekana, lakini kulingana na maelezo yako kwamba umekapa mgogo ili kasikutege, hapo nina wasiwasi, Hujaacha ila unapumzika. maana ungekuwa umeacha usingekuwa na wasi wasi wa kutegwa ungekaona kama mwanaume mwenzio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.