JINSI YA KUJIUNGA NA *INSTASCOOP* njia mpya ya kupata habari za uwakika moja kwa moja kwenye *WhatsApp* yako kutoka *Mwananchi communications Ltd*
1-Bonyeza hii link[emoji1427][emoji1427][emoji1427] https://rebrand.ly/MCL4
2-Bofya neno JISAJILI
3-Bonyeza neno WhatsApp
4- Weka alama ya vyema...
Pole sana but tatizo ni ulikua umepewa sifa zote ambazo huwez pata kwa episode 1 take your time and watch when huna haraka then uje utoe mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajaandaliwa kabisa ila kanisa la kristu mfalme misa ya pili ni ya kingereza ambako washiriki wake wakubwa ni wanafunzi wa St Mary goreth so ilikua obvious kwa wao kushangilia walipomuona Rais hili sio kosa ni jambo natural kutokea.
Habari wakuu,
Nimekua natatizo la kifua kwa muda mrefu nikitumia vitu vya baridi nakua natoa makoozi kwa muda mrefu nimeacha lakini hali bado ipo na pafu la kulia kwa chini asubuh linakua linauma hata mchana au nikiwa kwenye ac kali.
Nimepiga xray mara nying wanasema niko poa. kuna wakat...
What i know data zote zilizo waz ni za kimbinu cio za kwel maana kama nakumbuka vizur kuna mwanamke mmoja wa kirusi alikua trained kuingia kwenye maisha ya wazir wa ulinz wa uingereza ili kujua idadi ya askari mwenye data sahih anirekebishe but all in all vita ya tatu as full scale war kutokea...
wewe kama mzazi subir siku mwanao anakuja kukutoa macho ndo utajifunza kumfundisha adabu kabla mwalimu hajaja kumpiga kuzaa sio tija bali lea pia katika nizamu nzur
ulikua mji mkuu wa ufalme wa warumi wa mashariki uliobaki after wa magharibi kufa now days instanbul kabla Ottoman empire haijaja kuiangusha dola hii ya kirumi mwaka 1453 iliyotawala dunia kwa miaka 1500 toka 27BC kwa ujumla
Tuache kuangalia hili swala upande mmoja nilitegemea mawazir wasingelichukulia hili swala juu juu na kutoa maamuzi bila kupata taarifa sahihi japo sijapenda kile kitendo ila tuangalie upande wa pili wanafunzi mashuleni muda mwngne jaman sio wanafunzi Mzee warioba alikua sahihi sana serikali now...
Upo sahihi mkuu kabisa kama tukiendelea na siasa za umaarufu bila kuwa na sababu za msing kukosoa nguvu ya upinzani 2020 itakua ndogo sana nauna pia Kiongozi mkuu wa ACT naye kawa mtu wa kukosoa kila siku
Naomba kunukuliwa kuwa haya ni maono yangu na naamin huu ndo ukweli.
Tangu mkuu huyu kuteuliwa amekua akipambana kwa kila namna kuhakikisha anatimiza malengo yake pia upinzani umekua macho ili kuonesha mapungufu yake.
Na yafuatayo ndo yaliyotekea
1.Mkuu huyu kujaribu kufanya mambo yote ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.