Umeulizwa umbali from main road (Tarmac/lami road) kuingia ndani ni Km ngapi??
Waweza kutumia 16km from ferry ukaongeza 10km Zingine ndani.
Nikitaka kuanya "survey" mwenyewe nitafikia wapi?
je kwa wale wanaume wanaochukua degree ya pindo tuwafikirieje?wamezid wanaume wa cku hz wanapenda mteremko Na hvy kusababisha kufumuliwa pindo ,hv ni nashndwa kuelewa kwa nin wanaume wanatubania rizik kwa kutubananisha mpk wanawake wanakosa wanaume,kwa nin lakn mtafute hz degree za pindo? Hamjui...
je kwa wale wanaume wanaochukua degree ya pindo tuwafikirieje?wamezid wanaume wa cku hz wanapenda mteremko Na hvy kusababisha kufumuliwa pindo ,hv ni nashndwa kuelewa kwa nin wanaume wanatubania rizik kwa kutubananisha mpk wanawake wanakosa wanaume,kwa nin lakn mtafute hz degree za pindo? Hamjui...
Mume dhaifu hata Siku atakuja mtu kukugongea mkeo hapo kwako we ubaki unacheka tu.
Mume dikteta ni option ya pili baada ya mume anaejali utu na kusikiliza nini mwenzie anataka (m-demokrasia).
Faida za mume dikteta ni kua panapokua na kosa, majadiliano yenye kuchelewesha hukumu hayana...
namtafutia kazi mdogo wangu kwny mahotel amespecialize kwny cookery ,experience:workn termp time with NEW AFRICA HOTEL:she is a lady of 22yearz,;plz sana jf cal ni thru Ma no 0716474435
Verse mbili za kwanza Na korasi zipo kwa lugha ya malikia, so sikuzikariri.
Chukua hii verse ya mwisho ipo kikwetu;
Hivi vitu viko wazi, kama vazi la kahaba,
Nasambaza maradhi, halafu nakupa Siku 7,
Machozi ni haba, Uokozi ni Njozi baba,
Ulimwengu wa Saba, Jehanam ya aina yake,
Kipe...
za leo wana JF ,nawatakia friday njema....kuna kuku wanapatikana kwa bei ya shl 11,000,.wale wa kienyeji ila wanafungwa ndani kwa atakaetaka anipigie kwa no 0716 474435...ukitaka wanyonyolewe charge itaongezeka 500,karibu mwana JF upate mlo fresh na wa uhakika....,
Mgeeeeni tumeshazoea anakaribishwa setn rum tuuuu,mi ckubali nataka nikaribishwe kona zote jikon,lue, mpaka aaa bedrum la cvyo ni afadha;i niishie njeee....mgen mie napenda kujishughulisha hasa ninapokaribishwa na wenyeji,...huanza kufanya usafi,kutandika kitanda na kupika kisha kuondoka....ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.