Hii ni hatari sana kwani kama alipotea akiwa hai halafu anapatikana akiwa mfu haiko sawa ukizingatia ndo kipindi cha uchaguzi hapa serikali ijitathimini kwa kina
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za saa hivi wapendwa
Kiukweli nimependa sana hili mada na ombi langu kwa members ni kuhusu kama kuna mtu ambae ana uwelawa na haya mambo ya bima za magari basi aweza kuelezea kiundani yaani aekezee kwa ujumla wake
Bila shaka litakuwa somo zuri kwa members woe
Tafadhali naomba kuwasilisha
Kama ni kweli basi mwenyezi ailaze roho ya marehemi mahali pema
Na hata hivo namkumbuka huyu jamaa kwani kipindi nasoma nsumba high school na yeye akiwa pale chuo cha saut alinifundisha mambo mengi kupitia siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.