kweli bado sana,watanzania hatujaelimika.hivi watu mmesoma lakini bado mnaubiri ushabiki wa vyuo?.mi ata GPA za Tz hazinisumbui,jambo la msingi ni uwezo wa mtu husika
Mkombozi pekee wa wanawake duniani ni kujiamini tu, achanani na kusaka nafasi za kupendelewe na kujifariji kwa misemo inayowadunisha,eti mwanamke akiwezeshwa ataweza! kwani? asiweze mwenyewe mpaka awezeshwa? hapo ndipo mnapokosea na kuiaminisha jamii kuwa hamna uwezo mpaka muwezeshwe na wanaume...
kwa takwimu za 2oo7 ni hekta 12,655 za kahawa mkoa kilimanjaro zilikuwa zinazalisha tani 1800 tu.sasa kadri siku zanavyosa hali inazidi kuwa mbaya,ili hali wilaya ina hekta 46,506 zinazofaa kwa kilimo.haya ndiyo mambo yanayoshusha heshima ya shilingi na kudumaza uchumi.
hakuna kahawa ya kuuza...
ila wakuu mbunge naye mwanadamu kama wewe na ni dhaifu tena mwenye kupata maradhi km mtu mwingine na siku zake za kuishi ni kama kenda,huchanua wakati wa mchana na hufifia.......na siku za kuishi ni chache.....Mungu akuponye haraka mhe lema
inshort,hakuna utaratibu wa wazi.ila kama yupo ambaye unahisi ni UwT mweleze nia yko hope akione kweli unalengo atakupa mwongozo.ile we msomi mkuu! ukiambiwa nenda nyaruyeye miaka 5 na unajitenda na utandawazi utakubali
kiwanda hiki kipo kilimanjaro(w)Hai,chini ya PSRC ni miaka mingi hakizalishi na hakuna anayewajibika walau kutaka kujua nini? Kinaendelea, wakati kilikuwa mkombozi wa wanahai ambao wanaeneo dogo sana la kilimo hekta 46,506 sawa na asilimia 46 lingine ni misitu na miamba.hiki kiwanda ni...
Ni miaka 3 sasa kila siku ya Mungu huingia humu jamvini na kusoma mawazo yenu wadau.leo nimeamua nijisajili rasmi tena kwa jina langu kamili.ili nitakapo changia wananifahamu wapate ithibati ya kunikosoa.karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.