Kwa upande wa kalambo ,ukiwekeza kwenye hotel unaweza kupiga pesa,ingawa mara ya mwisho nimekuta Kama Kuna majengo yanaanza kujengwa,(2018) ingawa sikudadisi Sana kama ni ya serikali au mtu binafsi.
Ila Kama utaamua kwenda kuwekeza kwenye hiyo sector naomba uni pm ili nikuunganishe na ndugu...
habari zenu ndugu zangu.nampa pole sana ndugu yetu aliye ibiwa na bank teller hiyo 8000,ila naomba usimhukumu moja kwa moja huyo teller kwaani ina wezekana alifanya kosa la kiufundi kwenye kuset counting machine,yaani pesa zake alikuwa anahesabia kwenye "count mode"badala ya kuweka "cf mode"...
pole sana Mimi nakutakia kila la kheri.ila nami naomba details za huko utakako acha pengo ili nikazibe kama ikiwezekana.nina uzoefu wa mwaka mmoja working as branch accountant.pia ni diploma holder from Tanzania Institute of Accountancy.gender ni male
Rest in peace mzee moshi chang'a. mkuu wa wilaya yangu,mtu wa watu.
Nakumbuka ilikuwa ni tarehe 11/04/2014 nikiwa pale mtwara nilikutana na mtoto wake Ndg Mohammed chang'a akaniambia habari za kuumwa kwake..hatimae Jana umetutoka.
Eeh Mungu watie nguvu ndugu na jamaa wa marehemu ktk Kipindi...
uuuh. jamani hizo team zenyewe ukiangalia recent form zao...mpaka unachoka....for ur own risk unaweza ukaniiga mimi..revente win and auxerre lose...points zake 3. 2 .
au anayetaka pesa za fasta aweke monaco, schalke 04, dulka praha na bursaspor
nashukuru but kuoka aliokoka baada ya mtoto wake kuanza kufuatwa fuatwa na wachawi sasa ili maombi ya ende vyema akashauriwa na yeye aokoke but haikuwa toka moyoni mwake
ndugu yangu huyu dada yangu amewahi kuishi kwetu (kwa wazazi wangu) wakati anasoma nursing,kwa hiyo nilizoeana naye sana pia ananifahamu sana na kingine labda ni kwa sababu kuna demu wangu mmoja alikuwa ananisifiaga wazi wazi mbele yake kwamba najua mapenzi pengine nahisi ndo sababu yakutaka na...
thax but pia nahisi aunt yangu anampa kichwa maana nikifika lazima awapigie mabinti zake wote na anawambia mume wenu kaja.basi huyo anayenitaka lazima aje nyumbani na akifika ni lawama kwa nini nimekuja kimya kimya,ni maswali mengine mengi kama utakaa siku ngapi.pia akiwa anarudi kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.