Mwigulu siku nyingine angalau ujiongeze kidogo kwa kutafuta jina zuri la kodi unazobuni mfano hii hapa ungeipa jina la kuimarisha au koboresha makazi bora Mijini na Vijijini(IMPROVING RURAL AND URBAN SETTLEMENTS).
Nami nikuulize swali japo umejuaje kwetu ni karibu na uwanja wa ndege Nduli?.Kwa taarifa yako tunapofikiria kujenga choo hasa kwenye eneo kama uwanja wa ndege hatujengei watu waliopo eneo hilo bali ni kwa wote wanaotumia huduma uwanjani hapo.
Kwa kweli kuna mambo mengine ni ya kushangaza na wakati mwingine unajiuliza maswali ambayo yana majibu lakini bado unazidi kujiuliza inakuwaje tatizo lisiondoke kama jibu lipo.Naamini Kile kiwanja kina mapato ya kukiwezesha kujenga choo bora na cha kisasa lakini inakuwa vigumu kuelewa ni kwa...
Ni jambo la ajabu na lisiloeleweka katika uwanja wa ndege Iringa kuwa na choo cha namna ile.
Kuna cha nje pale uwanjani hata sijui vipimo vya milango yake vilichukuliwa kwa kuangalia vigezo vya binadamu wa aina gani.
Milango ni myembamba na hata nafasi yake ndani ni ndogo kupita maelezo...
Tanzania tutakuwa Taifa la watu wa ajabu sana hapa duniani.Taifa la kutaka watu wake wote waseme uongo na kusahau ukweli ni Taifa la watu wa ajabu.Hapa tunaongelea Bilioni 90 shilingi za Kitanzania ambazo zinaenda kutafutwa kwa Watanzania masikini wasio hata na uwezo wa kupata mlo mmoja wa...
Mpenda kuzoea hali halisi huku site si hiyo unayoitetea.Watu wengi wenye kuijua Tanzania waliyoizoea kama jina lako wana wasiwasi na Tanzania yao ya kesho.Ni kwa mara ya kwanza tangu uhuru msingi mkuu wa Taifa hili Umoja umeonesha kubomolewa kwa kasi ya ajabu rejea uharibifu wa mali za...
Mi naogopa naiona Tanzania ikiwa na Watu wenye haki ya kuishi kwa uhuru na wengine kuishi kwa matakwa ya wenye haki.
Hivi kama Nchi hatuoni kama tunajenga matabaka ambayo baadaye tutakuja kuyabomoa kwa gharama kubwa?.
Mtu mweusi mwenzoni nilikuwa natumia battery ambayo ilionyesha kuwa imepoteza uwezo wa kutunza chaji.
Nilibadirisha na kuweka mpya lakini tatizo lilionekana kuendelea.PC yangu ni Del VOSTRO MODEL 1015.
Si kweli hiyo ni barabara ya Kibondo hadi Nyakanazi kwa kilometa ulizoonyesha kwenye kichwa cha mada yako.
Kibondo hadi Nyakanazi ni zaidi ya hizo kilomita.Hiyo itakuwa ni Kakonko hadi Nyakanazi.Kibondo hadi Nyakanazi nikaribu 100kms.
Lo! hata Dr.Slaa Kawa wa hivi?.Kama Taifa wanyonge hatuko salama tena. Ni mtu tulio wengi tuliamini alikuwa na utofauti kabisa katika kusimamia utetezi wa haki za wanyonge.
Kama naye amekuwa wa hivi basi ni wazi tunarudi kwenye siasa za mfumo wa chama kimoja kama harakati za serikali ya awamu...
Kuna tatizo linatunyemelea.Juzi meneja wa Kampuni ya Meli ya Nyehunge aliwekwa ndani Kituo cha Polisi idara ya Marine kwa amri ya Mkurugenzi wa SUMATRA Mkoa wa Mwanza kwa Sababu zisizojulikana.Hali hii inasambaa karibu kila kona ya nchi.
Only in our country where a Regional police commander can daily make such simple statement to the public and then still he be sure of remaining in the office.
Ni kosa la umoja wa Mataifa mbona mambo ya Congo yako wazi tu.Ni vigezo gani wanatumia kuchagua nchi kupeleka wanajeshi wake kwenye jeshi la Umoja huo?.Congo kila mtu aliye na madaraka au Tajiri ni Mungu wa eneo husika na hii iko kila sehemu wala haihitaji utafiti.Easy wealth accumulation and...
Taarifa kutoka kwa Madereva wa Tanzania wanaorudi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaeleza kuwa Kuna malori mawili ya Kampuni ya Primefuels Tanzania yanashikiliwa na Serikali ya Jimbo la Kivu kusini katika mji wa BUKAVU kwa sababu na makosa ambayo hayajaeleweka.
Madereva hao wanasema...
JF members wote wa Tanzania wa kizazi hiki msijilaumu tumeshakosea na tayari historia imeshaandikwa vizazi vijavyo vitatusoma madarasani na kutufania Mitihani yao.Kama Bunge letu ndiyo hilo la akina Vibajaj maana yake ndiyo Think tank wetu wa kizazi hiki hatuna sababu ya kulalamika sana tayari...
Yote haya ni matokeo ya kuwa na chama tawala kinachoongoza nchi kwa njia za ghiriba.Ni hizi pesa za wizi wa raslimali za Taifa ndizo zinazotumika kununulia uongozi.Hakuna jipya bali mwendelezo wa taratibu ovu za Chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.