Nimekuwa ndani ya chadema tangu miaka ya 1990 mpaka sasa, kilichofanyika leo pale bahar beach sijitambui mpaka sasa!!!.
Maswali.
1. Wakat Lowassa anatangazwa, Dr.slaa, Lissu, Mnyika, Baregu n.k mhimu, walikuwa wapi?
2. Tukio kama hilo kwanini high table wakae wenyevit wa ukawa baada ya...
Nimepata taarifa kuwa, umoja wa walemavu Tz umezuiwa kwa mkuu wa mkoa wa Dar ukielekea magogoni.
Wamelala na kufunga barabara, na wameahidi kulala hapohapo mpaka kieleweke
Mwenye ukweli zaidi lete habari.
CHANZO: Mtumishi Mkoa.
Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa.
Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.
Kwa pamoja tumpongeze na kumtakia heri na maisha marefu, mzee wetu na rais mstaafu wa Tz kwa kufikisha miaka 90 leo.
Uwezi amini ukimuona, bado anadai sanaaa.
Happy birthday Mzee mwinyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.