Wadau wa Kigamboni leo mida ya saa tisa alasiri mbunge wa Kigamboni anategemea kuhutubia wakazi wote wa Kigamboni katiak kiwanja cha Machava................
Jamani watanzania wapenda amani na mnaopendana je, msukuma guta ataweza kulipa 1,317,600/= ili aweze kuvuka kivuko cha kigamboni kwa mwaka mzima(3600 x 366) ???
Kwa kwawaida serikali haifanyi biashara.Je kwa nyongeza hizi za gharama za vivuko ni biashara au ni huduma kwa jamii au watanzania wanyonge kama wa kigamboni waliokata tamaa na wasiojua kesho yao iko wapi.
Kasingo ninakushukuru kwa kutembea na kuona mengi.Hivi kenya wao wana uwezo gani hadi kuweza kuwasaidia wananchi wake kuvuka bure????.Ni kweli Mombasa hakuna kulipa nauli.Kazini unalipa kodi (PAYE) wakati huo huo kila unachonunua unalipa VAT.Hii inamaanisha basi mtanzania hana haki ya kutembea...
Jamani tunaelekea wapi Tanzania.Mimi ninaishi Kigamboni.Swala la kivuko ni aibu tupu.Asubuhi kuna baadhi ya watu wengi wanapita hawalipi wanapovuka.Kwa viongozi wa jeshi na polisi ninakubali.Je, watu wengine inakuwaje??? Gharama ni kubwa mno.Kwa hali ya kawaida watanzania walalahoi hujaribu mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.