Unachotakiwa kujua ni kwamba hata kama utakua unawapa 1.5 yote kila mwezi, ndugu wako sijui 8 huwezi maliza matatizo yao! Ila wao watakua maskini na wewe utakua maskini.
weka budget limit then nyingine aishi maisha yenu.
Kabla ya kuanza kuwahudumia walikua wanaishi vipi? Au yeye alikuta...
Wakuu, nilitumia mtu kuomba chuo second round, akakosea kozi ya kwanza nliyompa na nimechaguliwa hiyo hiyo hapo udom.
Nimejaribu ku cancel pale inagoma. ..msaada wa namna bora yaku cancel ili niombe upya
Goal difference zinafanana...ukienda kwenye head to head stand ana advantage as alimfunga kagera 3-1 kaitaba na shinyanga ilikua 1-1...kwa mantiki hiyo kagera anashuka
habarini wakuu..naamini tu wazima wa afya na tunaendelea kupambana kujikwamua kiuchumi
mimi ni mfugaji kwa muda sasa na pia ni mwanafunzi wa chuo cha sayansi ya afya na tiba- bugando
Ninauza mradi wa ufugaji wa nguruwe, ili nipate muda zaidi kwenye masomo yangu as niko mwaka wa mwisho sasa...
habari za muda huu wana jamvi (wana nzengo)
nikiri kwa dhati ya moyo wangu nimekua mpenzi mzuri sana wa stories zinazowekwa na lara 1 na the bold
nimekua nikimwona lara 1 hapa jukwaani mara nyingi na hadithi zake na the bold nimekua nikimwona jamii intelligence
kutokana na ubora wa stories...
kufanya kazi hospitali kama bugando ni tofauti sana na hospitali za mikoa...nimekua sengerema nimeona...nimeona sekoutoure pia....wanafanya referral ya cases rahic kwa referral reasons za kawaida sana....na huruhusiwi kurudisha ilikotoka....ma Dr wa bugando na wafanyakazi wengine wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.