yawezekana maana kila mtu na maradhi yke,na ndio hzo kila anae enda anazitumia,labda kwa ushauri tu tukiwa tunaenda nyumba za wageni tujiandae kikamilifu,maa sio kandambili tu,hata mataulo je km mtu ana magonjwa ya ngozi inakuaje?japo yanafuliwa,lkn si kikamilifu km unavyofikiria
yawezekana maana kila mtu na maradhi yke,na ndio hzo kila anae enda anazitumia,labda kwa ushauri tu tukiwa tunaenda nyumba za wageni tujiandae kikamilifu,maa sio kandambili tu,hata mataulo je km mtu ana magonjwa ya ngozi inakuaje?japo yanafuliwa,lkn si kikamilifu km unavyofikiria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.