Ndugu #tramadol asante sana kwa kulitambua hilo. Nikijikumbusha kidogo naona wewe ni mmoja wa washangiliaji wa sera za Chama chakavu but recently ulijicommit kutochangia mada Jf. In fact lazima jamaa wamegusa maslahi yako and that's how pity pain is felt. Ni vizuri ungewaambia wale...
Tatizo ni moja kaka. Wengine tunataka kununua vitu oversees na chakusikitisha ni kwamba tunaambiwa kwamba applicable rates ni za xe exchange. It's real headache. Lazima BOT waseme ukweli
Akili za CCM ni ngumu sana kuzielewa. Ikitokea mkubwa wao kama wa Arusha kanunua political figures from opposition wanabishaaaa na mapovu juu. Sasa ngoja mtu atoe rusha kwenye vipost vyao utaona wanavyokiri chama kuoza. But mkuu #PaganAmum kwa kuwa na wewe ni mgombea nakushauri utoboke mfuko...
Pumba zipo but tunapoona MTU ameleta sincere points worth of discussion tunakuwa na wigo mpana kudiscuss topic. Its all about LOGIC,the same as inteligency.
Pamoja na makosa machache ya Yericko Nyerere lakini kuna vitu vingi vya ukweli ambavyo yule kijana alihoji ikiwepo ni kwa namna gani MBIA anaibiwa?thamani ya 19.5 KGS?na vingine vingi.Thanks mkuu Barafu
Sijaona tofauti ,mifumo ya bunge la Tz na S/Africa inafanana kabisaaa. speakers wanatetea vyama vyao afu S/Africa Mbete anawaogopa sana wapinzani wazungu toka kwenye vyama vidogo vya upinzani kuliko anavyoihandle EFF . Hakuna tofauti ya Pinda na akina Ramaphosa.
Ki ukweli kijana mwenzangu huwa tunasikia unanyemelea jimbo moja huko Mara lakini sijawahi kukuona ukiwa kwenye harakati KIMATENDO katika jimbo hilo ,pole sana ndugu yangu kwa kutaka kula bila kufanya kazi.
Yaani muda wote takribani nusu mwaka ndo umegundua Leo tangia uchaguzi ufanyike kwamba yule jamaa Ana maamuzi magumu? hahaha! pendeni maamuzi sahihi kuepuka janga la CCM na vifaraga vyake.
I Know you are best in insulting people though politically a poor boy who stands supporting belly politics while you forget that your 1st,2nd& more generations to come will suffer for your nonsense involvement in abbiding to fraud. My take, try to see further for you will cease no longer but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.