Kweli nimeamini ukishangaa ya mussa utayaona ya filauni, na huwa ni shida kubwa akili ndogo kuongoza akili nyingi!!! Kitu ambacho TBC1 walichokifanya hakifai kufanywa na television ya Taifa jambo walilolifanya walitakiwa kufanya radio uhuru, TBC wanatakiwa fahamu kuwa miaka inaenda na mambo...
Cyo kila kitu kinachofanyika nchi zilizoendelea nasi tuige tukiwa tunakubali kilakitu tutajikuta mahara pabaya sana!! Tukubali ama tukatae hii sports betting itatufikisha siko, wenzetu wamataifa ya nje wengi wanaocheza mchezo huu huwa ni watu waliomatajiri hivyo basi hata pesa wanazozitumbukiza...
Wadau hii sports betting ni janga la kitaifa tena lisipochukuliwa umakini litakuwa Bomu, Ukijaribu kufatilia huu mchezo utagundua kwa nyakati hizi umeshika kasi sana hasa kwa vijana na watu wa makamo, Hii inapelekea uvivu wa kutofanya kazi kwa wale ambao wanafanikiwa na kuua mitaji ya biashara...
Ndugu acha ushabiki ucokua na mana!!andika habari yako uonekane wewe kweli ni great thinker,hivi kweli uisifie serikali ya kikwete kwa maisha haya ya sasa ya mtanzania?wake up 2jenge nchi na upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.