Ikumbukwe kabla ya mwaka 1991 kulikuwa na benki 3 tu NBC, PBZ na CRDB ikaonekana ukosefu wa ushindani ndicho chanzo cha kuzorota kwa Mabenki Tanzania. Hivyo ndipo I kaja Act ya Mabenki ya mwaka 1992 moja ya pingele ni kutuhusu mabenki mengi ili ushindani wa kweli uwepo pia serikali Ikiwemo Benki...
Hivi kati ya NMB na CRDB ni ipi benki ya kitanzania zaidi?, mnajua share composition za hizi benki mbili?. Haya ni masuala ya ni masuala ya kitaaluma yanayohitaji upembuzi wa Ki-Uchumi na Uwekezaji na Fedha/finance.
Juzi nilisaau kadi yangu ya TemboCardMasterCard nyumbani, wakati huo pia nina shida na pesa, ikabidi nihamishie pesa kwenye akaunti ya mshkaji kupitia njia ya Simbanking. Kisha yeye akauchota kwenye akaunti yake palepale na kunipa, pale! pale!. Du! Simbanking ni kiboko, Sijaonaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.