Binafsi sifahamu kuhusu Apple za uk na US bali kuna fake iPhones ambazo kwa macho na kama sio mtumiaji mzoefu huwezi kutofautisha.
Kwa uelewa wangu IPhone takriban zote designed by Apple in California,assembled in China.
Kutambua iphone fake ni rahisi sana.ziko njia nyingi as kutambua lakini...
Ni majonzi na masikitiko makubwa kwa wazazi/walezi wilayani Tunduru baada ya watoto wetu kufutiwa matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba kwa sababu ya kile kinachosemekana kubainika kwa udanganyifu katika mtihani.
Jambo hili linasikitisha zaidi kwa kuwa wanaadhibiwa wasiohusika huku wahusika...
Chama chama chama,hivi we unadhani watanzania wa leo wanakalia vyama?au unadhani kura ambazo dr slaa alizipata 2010 zilitokana na wanachama wake tu?mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.kama hamtambui kwamba zitto ni kati ya watu muhimu sana kwa chadema basi endeleeni kumbeza lakini endapo...
wadau kwa nia ya dhati niliweka bango la kuhitaji mchumba hapa jf na kweli nilipata,kwa muda mfupi tu baada ya kukutana nilibaini hatuwezi kuishi,na kwa kuwa lengo ilikuwa nipate mke basi nikaamua kujinasua mapema ili nisimpotezee muda wake na mimi nisipoteze lengo langu la kupata mke wa ndoa...
Hawawezi kubadilika kwa kuwa hawbmbiliki,majukumu yote ya chama hata ktk ngazi ya chini kabisa wanayakumbatia wao,tena wanaamini huko mikoani na mawilayani hakuna anaeweza chochote ni wao tu kila kitu.kwa ujumla ni wabinafsi sana.
Ndugu yangu zitto usivunjike moyo,jitihada zako watz wenye akili na busara tunaziona na kuzithamini,lakini kumbuka mbwa hata ukimtandikia jamvi akalie ye atakalia mkia wake tu.
Mi si msemaji wa zitto bali inashangaza kuona watu wazima munakuwa na akili za kuazima,we kwa akili yako upinzani ni uadui na uhasama?kaeni mutulie democrazy haitafua dafu kwa democracy,na chuki zenu binafsi dhidi ya zitto ni kama mbolea kwake maana ma great thinker wanaanza kuhisi nyie ma...
Nchi yetu sote hii We unataka kila kitu ufanyiwe?umeletewa muwa bado unataka umenyewe na ukatiwe?punguzeni chuki binafsi bana munatia kichefu na habari za slaa kila kukicha ilihali anatuulia chama tu,hebu muulize ruzuku waliyoisitisha mikoani inafanya kazi gani hapo makao makuu?au ndo...
Umenena vema mkuu big up sana,tatizo humu kuna watu wamekalia kupinga chochote anachofanya zitto hata kiwe kizuri vipi kisa wanaogopa atapendwa na watu na atapokonya nafasi ya slaa ktk urais,ndio sababu unaona kila hoja wanamtukuza slaa tu.nawasikitikia kwa sababu wanatokwa mapovu kumpigania mtu...
Zitto ana akili sana na hafanyi jambo kwa kukurupuka kama munavyotaka nyie vinyamkera ndio sababu pamoja na ujana wake hana skendo za kupora wake za watu au kutelekeza mke kwa hali hiyo anatosha kuwa Rais mtarajiwa Tanzania.
Mh ZZK tulio wengi tuko nyuma yako na tuko makini kwa kila linaloendelea,wala usipoteze muda wako kwa watu wachache waliodhamiria kukuchafua kwa chuki zao binafsi,piga kazi jembe time will tell.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.