Baadhi yetu tunaangalia upande mmoja wa shilingi. Lakini kufiwa acha kabisa! Hata uwe mwanaume au mwanamke,na hata uwe kicheche au usiyetulia namna gani,kufiwa na mpenzi wako yule main,acheni kabisa! Huyo dogo yamemkuta makubwa kuliko umri wake. Msisahau marehemu alikuwa mpenzi wake. Msisahau!
Mi nimepata message kuwa namba yangu imepewa ofa ya bima ya afya kwa mwezi mzima wa Aprili. Na nikapewa no niipige kwa maelezo zaidi.
Huwa sipendi kusubscribe kiholela vitu nisivyo na ulazima navyo. Mtu atuelimihe kuhusu hili kwa kweli
Jamani mnajadili tu kwa info mlizozipata kutokea wapi? mmeenda taasisi zinazohusika na mafuta na gas asilia? au mnaongeaongea tu...
Ndiyo shida ya kuyapeleka mambo kisiasa hayo.JK mwenyewe alipata kuahidi kuwa patajengwa pwr plant Mtwara na kiwanda cha kuishughulikia hiyo raw gas kuwa umeme.
Na...
Jamani mnajadili tu kwa info mlizozipata kutokea wapi? mmeenda taasisi zinazohusika na mafuta na gas asilia? au mnaongeaongea tu...
Ndiyo shida ya kuyapeleka mambo kisiasa hayo.JK mwenyewe alipata kuahidi kuwa patajengwa pwr plant Mtwara na kiwanda cha kuishughulikia hiyo raw gas kuwa umeme.
Na...
Mnanikumbusha juzi usiku majira ya saa 2. Nilikuwa kituo cha daladala cha Ubungo kwenda Mwenge. Nikabanwa na haja ndogo, nikaona nivuke maana kule kuna giza na bonde..
Salaale,baada kujisaidia nilikamatwa na vijana wawili,mmoja ana kitambi,kwa kosa la kujisaidia sehemu iliyopigwa marufuku...
Ila wengine ni mateja kabisa.. Ni bora makopo yaokotwe kuliko kuchanwa masikio kina mama,kisa hereni,na kuporwa simu na wallet zetu.
Hata bodaboda zimesaidia pia.
Takwimu zisizo rasmi, zinadai kila siku ya Mungu,wanaingia jijini Dar watu 200 wageni kabisa wa jiji! Kuja kutafuta maisha...
alex 2012 watu wa Mtwara wana hoja nyingi,ila kwa ufupi kabisa,wanasema ni ahadi ya Rais alipokuwa huko 2009,ya kuwa kiwanda cha kufua gas kuwa umeme kitajengwa Mtwara,na patajengwa mtambo wa high voltage wa kupeleka umeme kwa nyaya kwenda mikoa yote na nje ya nchi.Kwa hiyo si uchoyo kama...
Ndiyo maana ya uchaguzi. Unapewa dhamana na wananchi uwaongoze,na kuweka mifumo bora ya kuwaletea maendeleo,na kulinda rasilimali za Taifa kwa faida ya wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.