Search results

  1. A

    FULL TEXT: Hotuba ya Upinzani Bungeni, Lema abainisha viashiria vya vurugu

    Shoga hawezi kuona cha maana kwa mwanamke .
  2. A

    FULL TEXT: Hotuba ya Upinzani Bungeni, Lema abainisha viashiria vya vurugu

    Hakuna Taifa kubwa lisilokuwa na vita . Mnawachukia sana ..wachaga .dhambi ya ubaguzi itawaua ..
  3. A

    Godbless Lema, uchaguzi bado miezi 8 tuambie umeifanyia nini Arusha?

    Unachokiona kinafanyika kwenye Kata hizo pia ni kazi za Mbunge na CDM , mapato Halmashauri kuongezeka hizo pia ni kazi za Mbunge , kuiondoa Ccm Arusha Mjini , hizo pia ni kazi za Mbunge ,kujenga chama imara arusha mjini hizo pia ni kazi za Mbunge ,ni mtu mjinga na mpumbavu anayeweza kubeza kazi...
  4. A

    Diwani Ephata Nanyaro wa Levolosi Arusha - Utekelezaji wa Maendeleo

    Laki si pesa .wewe ni Nanyaro na jina lako j ingine mtandaoni ni Naima erenest . Acheni siasa za kumtukana Mbunge mitandaoni . Mko kama watano hivi mnaofanya kazi hii nani anawatuma. Arusha isingekuwa ilivyo kama ingekuwa sio juhudi za kamanda lema
  5. A

    Dhamira yangu sasa ni kuondoka Dodoma wiki ijayo!

    Unamjua Lema vizuri ? nafikiri humjui anaweza kukulisha wewe na mke wako
  6. A

    Dhamira yangu sasa ni kuondoka Dodoma wiki ijayo!

    Kwa kweli naunga mkono hoja
  7. A

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Lema ni msomi Kamanda ila watu hawamjui nafikiri hakuna mtu makini cdm kama Lema
  8. A

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Lema Mungu Akubariki saaaaaaana wewe ni rato
  9. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Mwambie Zitto atangulie mahakamani Yeriko kamaliza
  10. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Hapana ni kweli mawio kuna kijana wa Zitto pale auoni jinsi makala zs msaliti mwigamba zinavyochapishwa
  11. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Ni mchafu sana huyu dogo anaitaji mgadi
  12. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Cdm sio nccr wewe, no more wasaliti
  13. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Hali pata wapi hizi habari? Au mwigamba kaandika?
  14. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Mimi niko arachuga nimeona jinsi mawio ilivyojaribu kupotosha kuhusu mh lema kwa wiki tatu mfululizo na likiendelea hivi tutaanza kuli treat kama uhuru na habari leo
  15. A

    Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

    Zitto asafishiki kabisa
Back
Top Bottom