Unachokiona kinafanyika kwenye Kata hizo pia ni kazi za Mbunge na CDM , mapato Halmashauri kuongezeka hizo pia ni kazi za Mbunge , kuiondoa Ccm Arusha Mjini , hizo pia ni kazi za Mbunge ,kujenga chama imara arusha mjini hizo pia ni kazi za Mbunge ,ni mtu mjinga na mpumbavu anayeweza kubeza kazi...
Laki si pesa .wewe ni Nanyaro na jina lako j ingine mtandaoni ni Naima erenest . Acheni siasa za kumtukana Mbunge mitandaoni . Mko kama watano hivi mnaofanya kazi hii nani anawatuma. Arusha isingekuwa ilivyo kama ingekuwa sio juhudi za kamanda lema
Mimi niko arachuga nimeona jinsi mawio ilivyojaribu kupotosha kuhusu mh lema kwa wiki tatu mfululizo na likiendelea hivi tutaanza kuli treat kama uhuru na habari leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.