Haya mawazo ni ya kijinga sana. Haiwezekani uwe na uhitaji wa iphone 5 kisha uwe na offer ya nokia ya tochi. Migomo inafanya na walimu wetu kutokana mifumo dhaifu iliyopo.
Nafikiri njia bora zaidi ilikuwa ni kumwambia muhusika na sio kuja kulalamika humu jamvini. Pia mie nashindwa kuelewa kama ni kweli dada huyu anaweza fanya kama mnavyomlalamikiwa kwa sababu wisemen wangeshamwondoa kwenye hiyo nafasi.
Acha makelele ya chura. kwenye red ndo umeshemsha kuliko maelezo. technologia na vyuo kaleta KIkwete!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!,
hata kondoo analipinga kwa nguvu. ardhi ya rutuba safi ipo Tanzania hivyo huwezi linganisha na majirani zetu kama Kenya.
-uchumi wa Tanzania unazidi kudorora kila...
Jameni wandugu naombeni msaada, screen display ya hii laptop haijatulia kabisa. Maandishi yanatetemeka mpaka wakati mwingine screen inakuwa nyeupe kabisa. Je tatizo laweza kuwa nini?
what if akiwa ni mpare,,,,,,,, u will die without make it. Pole sana.
my advice is never let any opportunity get away without use it.
mie nafahamu watu kibao wenye qualification wanapiga mzigo bila matatizo.
acha kuwakatisha wenzako moyo. vijana wenye sifa stahili watapata kazi bila vimemo. hakuna hata mmoja aliyeanza kazi tangu mwaka 2010 bila kufanya process zote.......
Maskini kikwete, amekuwa miongoni mwa maraisi mabutu na kibogoyo. Hana meno hata kidogo.. Jamaa sijui anawaza nini. Nathubutu kusema anapenda maisha la filamu.
Nafiki washauri wake wana nidhamu ya uoga au kichwani mwao hawana kitu. Ndo maana wanashindwa kumpa ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.