From Wikipedia " Naphtha (/ˈnæfθə/ or /ˈnæpθə/) is a general term that has been used for over two thousand years to refer to flammable liquid hydrocarbon mixtures. Mixtures labelled naphtha have been produced from natural gas condensates, petroleum distillates, and the distillation of coal tar...
Ni kweli nyoka aina ya Koboko ni hatari lakini tukio ili limekuzwa kwani wenyeji ( locals) wanajua mbinu za ku-deal nao. Wengine tumekulia huko Urambo na tulifundishwa mbinu za ku-deal nao tangu tukiwa wadogo. Kuna msukuma Fulani kijiji cha Kamalendi Kata ya IFUTA ni mtaalam sana wa hawa wadudu...
Sitta ameleta mikosi Urambo. Baada ya mkutano huo ambao alikusanya watu kutoka pande zote za Urambo kwa malori, usiku wake soko limeteketea huku akishuhudia. Sitta ni mkosi kwa wana-Urambo
Nahisi ni zaidi ya Siasa/Udini. Hii inaweza kuwa suala la kuhujumu uchumi. Especially kuumiza sector ya utalii. Nani atakayekuwa beneficiary kama utalii utaathirika? Nadhani kuna kikundi cha watu kinataka utalii uanguke. Serikali iliangalie suala hili zaidi ya Udini/Upinzani. Inawezekana hata...
Mimi nadhani huenda haya mabomu siyo CCM Vs CHADEMA/Upinzani. Tujiulize kwanini yatokee Arusha? Naweza ku-speculate kuwa yeyote anayefanya hivi lengo lake ni kuhujumu utalii. Swali jingine ni kuwa nani anaweza kuwa nyuma ya kuhujumu utalii? Serikali isiliangalie kwa muono wa Siasa au Udini peke...
Please read this article:
21st May 2014
Tanzanian tourism will be fatally wounded should 40 years closed border between SerengetiNational park and the Kenyan Adjacent Maasai Mara be reopened, the governmenthas been warned.
Contributing to the Ministry of Natural Resources and Tourism...
Kalinzi acha kudanganya watu, mimi mwenyewe ni mkazi wa Matyazo na nilibahatika kutembelea Nyarubanda, Mkongoro, Kalinzi sokoni na maeneo mengine, Watu wapo tayari kusikiliza hoja za pande zote mbili. Na muda mfupi nimeongea na ndugu yangu aliyepo Mwiranvya Kasulu na amenihakikishia kuwa watu...
Hapo kwenye bold.... wewe siyo mwana-Kigoma Kaskazini na huenda hata Kigoma mjini huijui. Wana-Matyazo, Nyarubanda, Mkongoro, Kalinzi centre walikuwa wanamuamini sana Zitto miaka ya nyuma. Lakini mienendo yake ilianza kuwatisha miaka ya hivi karibuni na ilifikia wakati wengi walipoteza matumaini...
Mwaka 2009 wakenya wengi sana mikataba yao ilikatishwa, mimi ninajua zaidi ya wakenya 12 ambao mikataba yao ilikatishwa kwa sababu ya rushwa, wengine walipewa 48hrs kuondoka Botswana. Nakumbuka mwaka huo Rais Kibaki aliingilia kati kutaka kujua kulikoni. Serikal ya Seretse ikamwambia wazi...
Mbona kama post hii imerudiwa...... Au naota? Sasa hivi Kenya wanahaha kwa sababu in June or July 2013, South Sudan walikuwa wanafanya upembuzi yakinifu kuangalia cost benefit analysis za bomba la mafuta kupitia Kenya, Ethiopia au Djibouti. Na sasa hivi tayari wameanza harakati za kujenga...
Hii inaweza kuwa mikakati ya kutufanya Tanzania tuingie kichwa kichwa halafu "wawekezaji" wachukue bure. Hii inanikumbusha wakati wa Mr. Clean, alikubali ushauri wa IMF/World Bank kuhusu soko huria na ubinafsishaji ikiwemo mambo ya City Water, Tanzania tukaingia kichwa kichwa, tukalambwa. Mr...
Kama ni kweli usikute ni strategy ya Chama Cha Mabwepande kikishirikiana na polisi ili kuwaangamiza CDM. Hao polisi wanaweza jitoa kafara kwa sababu hata wakipewa adhabu mahakamani, Mabwepande team itawatoa na kuwapeleka sehemu nyingine na wataendelea na maisha kama kawaida hasa ukizingatia...
TRA ni pango la Rushwa. Mtu aki-import gari ndio ataijua TRA ni chaka la rushwa. Mwezi July mwaka huu kuna mjasiriamali mmoja alikuwa anafuatilia TIN ili aanzishe biashara ( mtaji laki nne), kufika tu TRA akaambiwa atoe laki mbili ili aweze kuipata hiyo namba within hours.
Zoezi hili /Operation hii isiishie kwa Wahamiaji haramu kutoka Rwanda, Burundi na Uganda tu. Liendelezwe kwa Wahamiaji haramu wote kutoka China, Somalia, Kenya, DRC na nchi nyingine yoyote ile. Zoezi hili likilenga makundi machache litakuwa la kibaguzi. Tunataka wahamiaji haramu wote watimuliwe...
Kuna shida sana hapo JKA Dar es Salaam. Kuna wakati nilikuwa nasafiri kuelekea J'burg. Ofisa Uhamiaji akaniambia " TWIGA haonekan i" Akataka kunizuia kusafiri japo TWIGA alikuwa anaonekana kabisa kwenye mashine, na passport hiyo nimekuwa nikiitumia mara nyingi tu . Huyo mdada...
Hii karatasi nayo imefojiwa. Inanikumbusha zama zile wanafunzi sekondari walikuwa wanagushi ticket ili turudishiwe pesa. Walikuwa watumia mafuta ya break kufuta maandishi ya wino na kisha kujiandikia nauli waipendayo. Walikuwa wanasubmit kwa Burser na wanachukua mshiko.
Mfano mzuri sentensi "...
Hii video ya "Rwakatare" inanikumbusha miaka ya 2000 ( nadhani 2004 au 2005) ZANU PF walitengeneza VIDEO kama hii ikimuonyesha Morgan Tsvangirai akipanga mipango ya kupindua nchi kwa kushirikiana na majasusi fulani. Baada ya video kuwa scrutinized Tsvangirai alishinda kesi.
Video ya Rwakatare...
South Sudan (RSS) kuna fursa nyingi sana, wanaija wameanza kwenda RSS kwa wingi. Kwa kweli kwa biashara ya chakula unaweza fanya vizuri sana. Changamoto kubwa South Sudan ni Insecurity na Miundombinu hasa barabara. Ni vema transactions zikafanywa thru bank. ;.,k f Nilikuwepo huko Kuanzia Nov...
Huyu anayejiita Subirijibu amenifanya nichangae hii mada japo nilikuwa napita tu. Kwanza Subirijibu ni TRAITOR tu na hii lable haitakaa ikutoke wewe na wenzako. Subirijibu anajaribu kupotosha baadhi ya mambo katika story yake hii. Wakati wa tukio la kumtoa "Mtungihela" , mimi nilikuwa First Year...
Wanaokiendesha kipindi wanajua kuwa hayo yanaweza kutokea na ndiyo maana BBA ni R18. Hivyo fanyeni control ili kuzuia wadogo zenu wasiangalie BBA. Hiyo ndiyo njia pekee ya kuwapa maadili. Japo Bhoke ametoka, hawa wanaoitwa "wadogo zetu" wakiendelean kukiangalia kipindi hicho watajifunza mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.