Ndugu yang jarb kupunguza ukali wa kauli zako ww km msomi unaetegemewa na jamii jarb walau kdg ku2mia hekm na busara ktk maongez yako,kwnn ucmuombee dua huy mdogo wako ili afaulu vzr nae aweze kutmiza ndoto zake za kufka mbal km ambapo ww upo hv sasa?kwnn umtolee kauli za kumkatisha tamaa kiac...
Mfano mzur wa shangingi ni yule mdada alieshrikishwa kweny nyimbo ya msanii A.T(VIFUU TUNDU).maana maneno yao yanafanana sn ya huy mdada coz yamekaa kipashupashu!"mwanamke mbeya utamjua tu mdomo wake, mweusiiii km kunguru"."umeona wap nyumba ya udongo ikapigwa deki,inahu...!!!horii weeee!!!"
wallah mi niapo ile kitu naitwa ndembendembe huwa napata ushungu na bashraf ndani ya mtima.mana huwa inaleta raha sn wkt wa kukazana na hii inakuwa ndio tofaut who is jike n who is dume.hii kitu we acha mana baada ya kupiga mzigo mujarabu huwa nayatumia kwa kupumzikia,teh teh teh dunian kwel raha.
mkuu una moyo sn,miaka 3 without kumwaga sera,km ingekuwa ni mm nishasahau zaman km huyo mdada nlshamtongozaga.bt ucjal mkubwa,ni hv cku zote KUJIAMINI NA KUJITOA NDIO SIRI YA MAFANIKIO.so jst take a practical steps.gd lucky!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.