Swali rahisi sana hili, sisi wachaga tunajenga vijijini kwetu, nenda machame, marangu, rombo ushangae mwenyewe. Hapo mjini tumewaachia mtuone maskini, lakini maendeleo makubwa tumeyafanya vijijini kwetu humo. Ukifika lazima ushangae. Hapo mjini tunakujaga kuzuga tu ndio maana tumepaacha hivyo na...
Unaonekana unapanda ndege sana lakini bado unachukulia kwamba ndege ni kitu cha tofauti sana mkuu, kusubiriwa ni kawaida inategemea tu huyo aliesubiriwa ni nani 15 min mbna ni dakika chache sana mkuu mpaka umeandika uzi wote huu na historia ndeefuuu, shusha sukari kidogo na uache kuchafua...
Wewe tulia na mke wako wacha kuhangaika mzee, maisha hayataki mbwembwe ......... siunaona unavyoteseka sasa kuja kutuletea uzi wa umbea wa kugombana na mchepuko wako, hii ni kwasababu huwezi hata waeleza washkaji wakakuelewa. Chamsingi we tulia tu na mama na utapata baraka mingi balaa
Wewe kaa usubiri ifike miaka kumi na mbili halafu ujitwalie, akija unamuambia kua ni yakwako kwasababu muda wote huo hakujitokeza, under adverse possesion unaweza kuimiliki kama miaka kumi na mbili imepita na umekua ukiishi hapo bila ya mwenye eneo kuja kulidai.
Wamevamia polisi ni haki ya polisi kuwashughulikia, unadhani wangeingia ndani ya kituo na kuchukua silaha za moto si ingekua vita. Mimi nawatetea ndugu zangu askari polisi wamejilinda kwa weledi na kuhakikisha kituo hakiingiliwi na sila haziibiwi.
Wacha uoga matola, mm naona umeandika hapo DR na PHD nkajua unajua aisee kumbe hamna kitu. picha za mtu anaepiga na magari hivyo ndio inamaanisha anatoa kafara ?? wengine nimadalali aisee kila akiamka andinga mpya anaizungusha anataftia mteja wewe utakaa hapo na umaskini wako na kuwaza wenzio...
wewe wachana na miaka, mimi dhumuni langu ni nijue kama kuna ukweli kwenye hili suala cz mdada aliamini na mvua haikunyesha. sasa labda ni mambo ya kwao huko wanambinu zao ndio nataka nijue
Wanajamvi habarini, nimekutana na kisanga kutoka kwa dada wa kazi, yeye ni mzaliwa wa Dodoma na alikuja kufanya kazi nyumbani kwangu hapa Chugastan.
Siku moja tumeanika maharage baada ya kuvuna na tukaona kuna dalili za mvua mvua vimanyunyu kwa mbali tukaanza kutapa hofu kwamba mvua inaweza...
Wajinga kama hawa wpo wengi sana mtaani, sasa ulishazaa watoto wanne leo unataka ushauriwe kisa unaliwa na kijana mdogo huu ni upuuzi gani tena jameni. Sema sishangai cz personally nilishakutana na mjinga kama wewe ambaye ni mke wa mtu lakini anadanga kwenye mabar kama mtoto mdogo vile yeye ni...
Mnaopiga mayowe wengi humu itakua mna supp au mmekuwa discontinued, LST ni habari nyingine ngumu lakini lazima profession iwe na njia yakugovern na kupunguza flow ya professionals mtaaani . Waendelee na utaratibu huo huo cz wakiachia mawakili wajae mtaani tayari itakuwa ni pigo kwa taaluma ndio...
Mkuu n
Mkuu ghari ndio kiswahili cha wapi ? Kwa ulivyoandika hii comment yako na hii ghari unaonekana kabisa ulikua backbencher mzee wakati wenzio wanajifunza kutofautisha herufi wewe ulikua unatoa makamasi puani huku ukiyalamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.