mimi nimemfanya aamini mimi ni zaidi ya wote kwani nimeweza kumfikisha pale alipostahili kimapenzi kupitia njia zote za msingi...nimegusa sehemu zake zote za muhimu katika mapenzi yetu hakuna ngeni iliyoyahalali sijaihusisha katika penzi letu!ndomaana hajanikimbia!
kweli mkubwa alikosea kukutolea maneno machafu na kupewa ujauzito na mtu mwingine sio tatizo pia kwani ni hali ambayo inaweza kumtokea hata mtu wako mwingine wa karibu,cha msingikama una mapenzi nae ya kweli angalia hilo... kama unataka kula mzigo toa fikrani kuwa unamkomoa bali ni mipango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.