Wadosi wengi ambao ni foreigners hapa kwetu wanaishi kama wafalme kila kitu kizuri wamepewa wao nyumba za upanga asilimia tisini wakazi ni wadosi je nhc walijenga kwa ajili yao au ni kwa ajili yetu watz?
wanakwepa kodi ya hatari ktk biashara zao simply becase they can use money to bribe tax...
Habarini wandungu, hapa uhamiaji kurasini kitengo cha work permit kuna mama mmoja (MAMA P...E) anatoa sana vibali hovyo kwa kupewa rushwa hasa kwa wenzetu jamii ya waasia kiasi kwamba sasa kila kona wahindi wamejaa na wengine hata qualification hawana, just imagine wanasema ni IT consultant ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.