Wanawake ndo mashetani na wakatili balaa. Kuua mwanaume ni kitu cha kawaida. Kuua mtoto wa kambo jambo la kawaida. Ushetani mwingi duniani unaanzia kwa wanawake.
Lema anapigania tumbo lake na familia yake..... Na wewe uliyeandika hii thread nadhani unatokea Kitunda...... Pole sana kwa sababu tunajua kule bado mko kwenye ujima. Ndo sababu hata post yako imefanana hivyo hivyo.... Tafuta kwanza uhuru wa nyumbani kwako.
Watanzania tuna shida..... Hatujui nini tunataka na nini kifanyike kwa ajili ya taifa letu. Mtu kapelekwa Mahakamani kujibu tuhuma za kutumia madawa ya kulevya..... Matajiri wa Yanga wafanyeje sasa?!! This is very funny!!!
Siamini na sitaki kuamini kbs kwamba hawa ma LGBTI persons wameomba kuwa hivyo. Sababu za wao kuwa hivyo ni za kibaolojia zaidi. Mimi siungi mkono matendo yao lakini badala ya kuwakamata na kuwaweka ndani.... Wasaidiwe kivingine.
Hawa LGBT Community wana psychological disorders ambazo sasa...
Watanzania tufike mahali tuache kushabikia ujinga......... Kisha tuwapongeze viongozi pale wanapofanya kazi na kutimiza wajibu wao. Km wewe ni mmoja wa wahanga pole na punguza munkari.
Kinachobemenda mtoto ni uchafu anaokula kutokana na nyie wafanya mapenzi kipindi km hicho kuwa wachafu kiasi cha kumfanya mtoto aule uchafu. Kiafya na kisayansi mwanamke anaweza kufanya mapenzi baada ya siku arobaini toka ajifingue.
Rais nenda pale c kwa kutumbua, bali kuwajengea uwezo wale vijana, matokeo yataonekana!! Wape fedha za kutosha, wape vitendea kazi, wAPE MOTISHA, budget yao ikipita itoke kwa wakati na waachwe huru km sheria inavyotaka!! Wapewe ofisi zao nje ya idara ya kazi, wapewe salary scale yao, na wapewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.