sasa utakuta wanamuweka yule jamaa wa habari za biashara Joseph Msami yani wanazuga yuko live wakati anaonekana kabisa karekodiwa,saa zingine utakuta anaongea alafu cd inakwamakwama mpaka aibu.
yani nimeangalia taharifa ya habari tbc leo,ilikuwa ni vichekesho vitupu.
Watangazaji wanaruhusu picha za habari zilizosomwa,matokeo yake camera zinabaki kuwamulika wao,picha yenyewe haiji basi wanabaki kukenua meno tu,tabasamu la uzuni ndio linapamba sura zao..
Hii kitu imekuwa...
umeona sasa alivyo mnafiki uyu muhutu..kila siku kukimbilia kwenye media kulialia eti anaonewa..ivi anajionaje uyu mnafiki!?na anataka watu wamsifie tu akiwa kama nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.