Search results

  1. M

    Wito kwa wana CHADEMA wote!

    CHADEMA ilisajiliwarasmi mwezi January 1993 na tokea wakati huo imeongozwa na wenyeviti wa taifawawili na aliyepo kwa sasa ni wa tatu. Mzee Edwin Mtei aliongoza kwa miaka mitano tangu mwaka 1993 hadi 1998 na kumwachia Mzee Bob Makani ambaye naye aliongoza kwa miaka mitano hadi mwanzonimwa 2004...
  2. M

    Wito kwa wana CHADEMA wote!

    Uzuri ni kwamba wale viongozi wa chama mikoani, mawilayani, majimboni, wananielewa vizuri ninayoyaongea. Hawa walevi wanaoniita mamluki hawajawahi kuwa hata makatibu kata wa chama. Ndiyo maana sihangaiki kujibizana nao! Watu kama Tumaini Makene, ofisa habari wa chama badala ya kueleza jinsi...
  3. M

    Wito kwa wana CHADEMA wote!

    Kufuatia malumbano yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na madhaifu mengi ambayo tumeshayashuhudia kwenye chama kwa sasa, natoa wito kwa wana CHADEMA wote nchini kwamba wakati umefika tubadilishe uongozi wa juu wa chama. Kihistoria, CHADEMA kati ya mwaka 2005 na 2010, agenda zetu kwa...
  4. M

    Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

    Patriote, Nimekubali. Ni kweli aisee!!! Maneno yanayosikika utadhani yalitamkwa na Obama kabisa kumbe fake. Ile video ya Lwakatare ni fake kabisa!!!
  5. M

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Kama nilivyoahidi dakika chache zilizopita, naomba kuweka hapa mtandaoni barua ya kufukuzwa uanachama wa BAVICHA Bi. Juliana Shonza aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa. Na kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA akishafukuzwa uanchama wa Baraza la vijana anapoteza pia uanachama wa chama.
  6. M

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Lyimo, Ni kweli kwamba Juliana amejitahidi sana kukwepa kupewa barua yake. Hata jana kapigiwa simu akadai yuko Mbeya na anatarajia kurudi baada ya siku 3 halafu kafanya press conference hapa hapa Dar es salaam. Afisa Mwandamizi wa Chama Makao Makuu ndugu Hemed Sabula, kamfuata leo mbele ya...
  7. M

    Ubunge wa Lema uliibua uminywaji mkubwa wa haki - mmoja wa wahanga alikuwa RPC Basilio Matei

    Majira ya saa 10 jioni nilikuwa nimesimama karibu na viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Arusha. Alikuwepo Mwenyekiti wa mkoa Samson Mwigamba, Katibu wake Amani Golugwa, Mratibu wa Vijana Mkoa Ephata Nanyaro na Mratibu wa Wanawake Cecilian Ndossi. Nakumbuka Mwenyekiti wao alimpigia RPC simu na baadaye...
  8. M

    Lema kuapa mara mbili Bunge la muhula mmoja?

    Hawezi kuapa tena maana hukumu ya mahakama ya rufaa inatengua hukumu ya mahakama kuu. Kitakachotokea ni Lema kurudi bungeni bila kuapa tena na kulipwa mishahara yake yote. Ni sawa na mtu aliyesimamishwa kazi halafu baadaye akaja kugundulika kwamba hakuwa na hatia. haajiriwi upya bali hurudi...
  9. M

    Ahsante Mungu, ushindi wa Lema umezima mikakati yote CCM kuibomoa CHADEMA

    Wadau, Nadhani Mungu yupo nasi. Kwa muda kiasi CCM wameiweka CHADEMA kwenye migogoro ya kipuuzi kwa kuwatumia vijana kadhaa waliowanunua na hatimaye kujaribu kuisumbua CHADEMA kwa migogoro ya kipuuzi. Hatimaye mjadala sasa umegeuka umekuwa ni ushindi wa Lema. Huku Arusha watu wanaandamana...
  10. M

    KADA WA CHADEMA ARUSHA AJIUNGA NA CCM: Katibu wa CHAMA AMANI GOLUGWA Hamtambui Kada Huyo

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Arusha ni mmoja tu anaitwa Samson Mwigamba naye ni huyu hapa nimeattach picha yake. Huyo mwingine mhuni tu anatafuta kupata chakula CCM.
  11. M

    Dk. Kitila Mkumbo hajasoma vema Katiba ya CHADEMA...

    Nadhani umechanganyikiwa. Hiyo ni ratiba ya uchaguzi lakini siyo ya kutangaza nia. Mwombe Dr radhi.
  12. M

    John Mnyika amuita Rais kikwete Dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

    Mnyika amesema mambo matatu yaliyotufikisha hapa: Udhaifu wa Rais Kikwete, Uzembe wa wabunge na Upuuzi wa CCM. I Yote ni ya kweli na kweli tupu. I conquer with him. Wameamua kushikilia hilo la udhaifu wa Kikwete maana limewagusa zaidi. Lakini si tusi wala si lugha ya kuudhi. Wao CCM wamewatukana...
  13. M

    Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

    Tokea CHADEMA ianzishwe imeshaongozwa na makatibu wakuu watatu. Wa kwanza ni Bob Nyanga Mohamed Makani (shinyanga) wakati Mwenyekiti akiwa Mzee Edwin Mtei, wa pili ni Aman Walid Kabourou (Kigoma) wakati Mwenyekiti akiwa Bob Makani na wa tatu ni Dr. Willibrod Peter Slaa (Arusha) Wakati Freeman...
  14. M

    Uvamizi wa CUF Arusha waikatisha ziara ya CHADEMA kusini

    Niko Arusha na kila siku niko mjini. Tuambie hiyo mikutano mmefanya viwanja gani na siku gani na muda gani. Sijawahi kusikia CUF wakiwa na mikutano ya hadhara hapa mjini Arusha tangu nimekuja hapa 2001 isipokuwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu. Sasa kama mwaka huu ni wa uchaguzi mkuu hapa...
  15. M

    Waraka wa kwanza wa Mbowe kwa Kikwete huu hapa

    Kwa wasiojua hizi nyaraka Mbowe aliziandika baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 kwenye gazeti la Tanzania Daima na ndiyo maana anazungumzia ugombea kwani wakati huo ni yeye aligombea urais. Aliyeleta thread hii labda alinuia tu kutukumbusha ya huko nyuma. Si waraka wa leo wala jana. Angeuandika...
  16. M

    Nini mustakabali wa chadema

    Angalia orodha hii hapa chini halafu utueleze huo ukanda uko wapi: ORODHA YA VIONGOZI MAKAO MAKUU YA CHADEMA: VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA: S/N JINA LA KIONGOZI WADHIFA KABILA ANAKOTOKA 1. Freeman Aikael Mbowe...
  17. M

    John Shibuda na Dhana yake ya Ukabila (Makala, Mwananchi Jumapili)

    Natazama huu mchanganuo halafu utuonyeshe asilimia 90 ya wachaga iko wapi: ORODHA YA VIONGOZI MAKAO MAKUU YA CHADEMA: VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA: S/N JINA LA KIONGOZI WADHIFA KABILA ANAKOTOKA 1. Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti Taifa Mchaga Hai -...
  18. M

    Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Mkutano unaanza saa 8 lakini kwa wale walio nje ya Dar angalieni live kuanzia saa 10 ITV
  19. M

    Swali jepesi kwa wanazi wa CHADEMA

    Swa la hapa lisiwe umri kwa kuwa Katiba mpya inaweza kuushusha kutoka miaka 40 hadi 30 ama 35. Suala hapa tuchukulie kama katiba itakuwa inamruhusu na akaamua kugombea. Napingana na yule aliyesema Zitto hana akili ya kuwa rais eti urais unataka busara. Ina maana Zitto hana busara? Mimi nasema...
Back
Top Bottom