wewe naona umedandia treni kwa mbele, hujui hata ni mada gani iliyopo mezani. kama unataka malumbano ya kidini watafute kina mazinge kwenye bible wakuambie vizuri naamini utaelewa tu.
Fursa waislam wanachangamkia sana ila tatizo hawa maaskofu ndo wamekuwa mstari wa mbele kupinga kwa matamko mbalix2 tena ya vitisho, ambayo ndo yametufikisha hapa tulipo hadi tunakosa kuaminiana na kuvumiliana. unapoongelea mou ya wakristo, mnaona ni haki, lkn tunapoongelea mou ya waislam...
Kwanza kabisa hata hili tamko la maaskofu nalo limekaa kichokozi kwa sababu unaposema uongozi wa juu wa sasa wakati msingi uliotufikisha hapa ni kandamizi bado unaficha ukweli sababu, Nyerere amekaa madarakani miaka 24 na ktkt nafasi zote nyeti alihakikisha wanashika wakatoliki ili kugandamiza...
Nina maswali kwa mwakyembe Je? wakati tunachota kodi za wananchi kuhakikisha shirika la ndege la Taifa ATC linasimama huku tukiruhusu wawekezaji wa ndani kwa kukosa uzalendo, hivi tuna makusudi ya kuendeleza taifa au kulididimiza taifa? kwa sababu juhudi zote zinazofanywa zinaonekana kiini macho...
waislamu wanaamini kama haki hakuna basi kufa ni bora zaidi. Na vitisho havisaidii kitu. Issue ni kutenda haki sawa na kukomesha uonevu makazini, mashuleni, na hata mavyuoni.
emedichi pOLE SANA KAKA, NAAMINI MUNGU ALITAFUTA NAMNA NZURI YA KUKUJULISHA UFIRAUNI HUU, LAITI UNGEJUA YUPO HAI PENGINE UNGEKUWA MAGEREZA KWA KESI YA MAUAJI. TAKE IT EASY, NA MUNGU AKUPE MWANAMKE MWEMA ATAKAYEZIBA PENGO NA KUSAHAU MASAHIBU HAYA.
unatakiwa ufute mawazo ya kingono kichwani mwako, halafu ukisikia kupigwa mti nenda kwa mchumba wako akusugue hadi hamu ipungue then huo msisimuko utaisha, au huyo mchumba wako naye hakufikishi?
inavyoonyesha huyo bint ana jini limemwingia, na tabia ya majini ni kuchezea watu ili kuwapoteza kiimani na uweze kutii sheria zake na masharti yake, nakushauri kwa ujumla ninyi wanafamilia mutafute viongozi wa kiroho walio safi sio wale nusux2 na wadumu ktk kumuombea, na huyo binti mumujenge...
jambo AMBALO HULIJUI NI KAMA GIZA, KWA HIYO NYAMAZA TU KWA SABABU HUJUI. MAANA HUWEZI HATA KUJIULIZA KWAMBA WAISLAMU MIAKA YOTE WALIKAA KIMYA UNAFIKIRI WALIKUWA WAJINGA? HAPANA NI KWA SABABU WAMEKUWA WASTAARABU NA USTAARABU WAO NDO UNAOFANYA WAENDELEE KUNYANYASWA NDANI YA NCHI YAO.
we ndo waona ujinga ila wao wanaona wanaenda kupumzika kwa amani mbinguni, and dont play with muslim wakiamua hata kama jeshi zima litatanda barax2n watu hawatakata tamaa, ila kinachosubiriwa ni busara ya viongozi wetu wa serikali na tunawaheshimu kwa sababu tunaamini muda uliopo wanatumia...
ingekuwa ndo mara ya kwanza huyo mtoto kufanya hivyo watu wangeamini ni utoto, ila hayo matukio mbona yanatokea sehemu mbalix2? hivi unafikiri ni bahati mbaya?, chemsha bongo.
Nimeona na kusikia mifano mingi ya hivyo hasa wanawake wengi wanaofadhiliwa kwa kutoa kikojoleo huwa wanageuka na kuwa hivyo, ila ninachoshauri kwa wanaume wenzangu, ukitaka kumkoga mwanamke hadi aje akukumbuke hata akiwa ameolewa na anaingia kaburini, kama unauwezo wa kumsaidia msaidie tu na...
Waislam huwa hawaogopi kufa hasa pale wanapodai maslahi ya kidini tena mtu akifa ktk njia hiyo anakuwa ktk hali nzuri sana mbele za mungu, kwani amekuwa amekufa shahidi, we sherehekea tu kuuawa kwa waislamu.
kukojolea kitabu ni kukidhalilisha na kosa kikatiba tena la uhaini kwa sababu linahatarisha usalama wa taifa, hiyo nayo hujaiona eti? au umeangalia kikatoliki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.