Search results

  1. babumufty

    Kujifunza programming bila kwenda chuo

    Kma unajifunza komaa.. nadhani nitakuwa nimemaliza hapo mambo mengi mie sielewi nnachojua am living my life fresh 2 and it doesn’t matter nimeajiriwa au nimejiajiri..[emoji16][emoji16]
  2. babumufty

    Kujifunza programming bila kwenda chuo

    Kujifunza programming ww mwenyewe mbona safi 2 sio shida na nimovement saafi kabisa utazikamua system,apps vizuri mno sometimes better than aliyekaa darasani ila ukiwa na basic ya CS itakusaidia kuondoa sm limitation kwenye kazi zako
  3. babumufty

    Kujifunza programming bila kwenda chuo

    Naona una interprete unavyotaka ww . Km ww unadhani kujua programming nakuwa computer scientists ni sawa then u better go back 2 xcul Kugundua kitu sio sawa na hii topic hapa na ww ndio uneshikilia utadhani upo on point Narudia tena. Kujua syntax za language yoyote still utapata changamoto...
  4. babumufty

    Kujifunza programming bila kwenda chuo

    Kuwa programmer hauhitaji degree ila kuwa Computer Scientist hapo unaihitaji elimu ya chuo... maana jiaminishe unavyotaka ila the man behind compiler cdhani kma alikimbia shule... huwezi ukatengeneza your own language kma ulikimbia college
  5. babumufty

    Mafunzo ya ufundi simu na TCRA

    sad news.. TCRA wanadhani mafundi wote ni darasa la saba or form 4.. unakuta anayekufundisha umempita hata hyo elimu au upo naye sawa mpaka experience..DIT unarudi kusoma ufundi simu wanakufundisha basic electronics kwq m2 ambaye ameenda chuo ni holder wa diploma or degree unamrudisha kwenye...
  6. babumufty

    Vyuo vikuu tumieni mfumo wa division hizi GPA zinatuchanganya wazazi

    imani yako ndio tatizo mzee.... unaamini kuwa na division 1 ndio kufanikiwa maisha...ni vizuri m2 ku score high mark kwakweli inapendeza.... kikubwa mfumo wa division sio mbaya kwakuwa ndio umeuzoea.. ila ss vyuo vinaendana na mambo ya dunia.. incase unaenda kusoma nje.. wanajua una...
  7. babumufty

    Vyuo vikuu tumieni mfumo wa division hizi GPA zinatuchanganya wazazi

    hehe mm ckuenda chuo kutafuta GPA afu kwa bahati nzuri ss cjapata hyo lower second ilikuwa mfano 2... ila nlichofata chuo nimekipata... na nashkuru maisha yanasogea.... na hata ningepata pass maisha yangeendelea vile vile... narudia tena usi force gpa standard ziwe kma division hii ni shida...
  8. babumufty

    Vyuo vikuu tumieni mfumo wa division hizi GPA zinatuchanganya wazazi

    GPA ni international standard ya elimu ya juu... hayo mambo ya division ni local.... ww una force waweke division kwenye elimu ya kimataifa una force 2... kiufupi wakiweka gpa inakuwa inajulikana popote wana deal na m2 wa level gani... ss hawawezi kubadili mfumo kwa faida ya wa2 wachache... kma...
  9. babumufty

    ITC na IT

    kwa tanzania ICT,IT,CS ni kitu kimoja.... ila ukijielewa utaweza kujitofautisha.
  10. babumufty

    Samsung galaxy S7 inabagua USSD.

    unaweza weka custom rom maisha yakaenda vizuri 2 au kuna hizi note 5 za korea ambazo model zake zinaishia K/L/S huwa ukirudishia stock rom yake... ussd inafanya kazi vzr 2
  11. babumufty

    Education information (TURKEY SCHORLASHIP)

    Scale za matokeo ndio kwenye shida mzee,badilisha scale... alafu jaza chochote uone... itakavyokubali
  12. babumufty

    Nafasi za kazi (afya) JWTZ

    Naona umeamua.. ku comment pumba...
  13. babumufty

    Nafasi za kazi (afya) JWTZ

    Kma halitoajiri watu wamaana haliwezi kuwa productive kamwe... ajira kada zengine ni muhimu kwakuwa hizo kada zengine pia zinamapungufu ndio maana halipo productive... jeshi linapaswa liwe na project kubwa ukiachana na kulinda amani 2... hizo project zinaendeshwa na wataalamu sio wafuta vumbi...
  14. babumufty

    Nini Tofauti ya NALA na App ya M-pesa, Tigo pesa?

    Kma hakuna mfumo wa ambao uta provide API ambayo developer wata intergrate kwenye system zao ili malipo yafanyike kwakupitia system zao za hela, naona hii feature wanaikimbia sana..... 10yrs hii kitu hawaioni.... naswala laku allow paypay ku receive money hili jambo cjui kwann linapuuziwa..
  15. babumufty

    Je, nikienda utumishi kulalamika kwa kutokuitwa kwenye Usahili nitasikilizwa?

    Utumishi wanaweza chukua maamuzi yoyote... kma wanaweza kuita wa2 857 kwa kazi ya nafasi 2 za ict pale mwimbili,sembuse kuchukua maamuzi yakukuacha... jipange uombe kz zijazo
  16. babumufty

    Je, nikienda utumishi kulalamika kwa kutokuitwa kwenye Usahili nitasikilizwa?

    Hehe mzee kuitwa kwenye interview sio.kma ndio umepata kazi.... unaweza ukawa na profile iliyokamilika ila barua yako haikukamilika... mwisho wasiku utumishi nao wa2 vile vile..,na mm nakuahidi kawaida ya taasisi kma utumishi... utaambiwa ulikosea 2 hawatotaka kujishusha... anyway gudluck
  17. babumufty

    Nashindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye usaili

    Bro mie nimeitwa watu 857... na nina mpango wakwenda bila kukosa.....na post ni 2 tu
  18. babumufty

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Number yako ya Cmu ya ttcl ndio unaingiza hapo.. ili kununua vocha ya ttcl kwa tigo pesa
  19. babumufty

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE

    Subiria graduation utapewa cheti chako.. utaomba kz...
  20. babumufty

    Elimu ya Tanzania Waajiri hawaitaki.. hili tangazo limenitisha

    Shida ipo pale pale... unatafuta walimu wa tanzania waliosoma kenya alafu walimu hao hao.. wanakuja kufundisha kwa syllabus ya tanzania.... mwenye shule atakuwa mgonjwa kidogo... na elimu ndio hii hii shida yetu ni exposer ndogo...,kenya na tz ni yale yale 2,uzuri wakusoma nje ya africa kwenye...
Back
Top Bottom