Chadema wameshinda jimbo la Buyungu- Kakonko (Kigoma) kupitia mgombea wake Bilago Samson na kumpumzisha kwa amai Waziri wa JK Christopher Chiza... Source Azam 2 breaking news...
Hapa ndipo wanapotufikisha hawa wanafiki! Kiukweli nikuambie tu maisha popote, kama hakuna upande uatachukuliwa hatua katika kipindi hiki ni bora kukaa pembeni. Binafsi sioni sababu ya kumshambualia Zitto zaidi ya unafiki usio na ushahidi unaoelekea kuungwa mkono na viongozi waandamizi wa chama...
Sijui kwa nini haya yanatokea sasa! ni ukweli usiofichika shambulio hili dhaifu kutoka kwa mtu asiyefkri vyema linamjenga sana Zitto kuliko kumchafua. Zitto anaweza kutoa ushahidi hapokei posho, sina uhakaka kama mbunge wangu Lema atakuwa na ushahidi za shutuma anazozitoa mbele ya umma. lakini...
Wadau nashindwa kudownload files kwa device yangu hata kuingiza opera browser imekataa. Kila nikjaribu napata ujumbe "can't download windows, phone doesn't support this file type" kwa yeyote mwenye uelewa anisaidie tafadhali!
kama huo ndio ukweli kuna sababu ya hao watu kugoma na wewe uwaunge mkono! kuna sababu gani ya watumishi wenye kiwango sawa cha elimu kulipwa mishahara tofauti? kama baadhi ya kada ni bora kuliko zingne ni vyema watu waambiwe wazi wasisomeshe watoto wao kada kama za elimu, hii inauma sana kwani...
nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?
CHETI
mwalimu 244,400
afya 472,000
kilimo/mifugo 959,400
... sheria 630,000
DIPLOMA
mwalimu 325,700
afya 682,000...
Walikutukana wewe pamoja na makamanda wote wa cdm lakini adhabu tumetoa sisi wananchi na sasa una amani ya maisha na mungu atazidi kukubariki. Hakuna haja ya kujibizana na mjinga nawe utaonekaa mjinga. Wakilisha tulichokutuma mjengoni, achana na siasa za majitaka za wachovu wa kufikri kama Anne...
Tukiendelea hivi hakika hakuna uvunjifu wa amani utakaotokea. Pamoja na jam kubwa iliyotokea kutokana msafara wa mafisadi pale tengeru ikiwa imepambwa na zomeazomea iliyofanya magamba kutoa mikono yao wakiwaonesha vidole vya kati wananchi wao. Ukweli polisi hawakufanya ubabe wao na badala yake...
Mkuu inaelekea jamaa wakali kwa wake zao mpaka asa hv haujapata wa kuzn naye. Kuna hoja nyng znatolewa lakn hujibu, ya uzinzi imekugusa sana mkuu. Fanya mambo yako ya ajabu unayofanya iramba tafuta wanaume wanne mlale.
Mtakatifu Nyerere uliombee Taifa la Tanzania kwani wayaona yote yanayotokea na kama waona kuna ombwe la uongozi utuombee kwa mungu atusaidie kulikomboa taifa 2015. Amina!
Nishuhudia kazi nzuri inayofanywa na Sam Maela wa ITV, nimekumbuka Jerry na habari zake za uchunguzi. Kwa anayefahamu anijuze aliko na kama aliendelea na mkataba wake TBC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.