Search results

  1. H

    Gazeti maarufu duniani Forbes lamuongelea Jackline Ntuyabaliwe Mengi

    ANDIKO LA KUTOKA GAZETI MAARUFU DUNIANI FORBES LIKIMUONGELEA JACKLINE NTUYABALIWE MENGI NA MAISHA YAKE YA BIASHARA. Malkia wa Urembo kutoka Tanzania Anayejenga Himaya ya Samani Akijivinjari ndani ya jiji la Dar es salaam kwenye foleni mida ya mchana ndani ya gari lake jeupe aina ya Mercedes...
  2. H

    Jinsi ya kuroot simu yako (smartphone)

    Naomba msaada wa program za muhimu kwa mahitaji ya kila siku ambazo zinahitaji root ndio zifanye kazi.pia maelezo jinsi ya kuupdate android version
  3. H

    Faudhia Kitenge: It was not my fault or my choice to have albinism

    By Faudhia Kitenge, It was not my fault or my choice to have albinism and live with it through out my entire life. But its the society's fault to create exclution, discrimination and oppression towards people with Albinism through those abusive cultural practice. Who has the ability to test...
  4. H

    Kinondoni kusimamia michezo kikamilifu ili kuinua vipaji vya vijana

    Hayo yamesemwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Boniface Jacob wakati kufungwa kwa mashindano ya Umoja wa Michezo Sekondari Tanzania (UMISETA) kwa Wilaya ya Kinondoni yaliyofanyika shule ya SekondariMakongo leo Jumapili 22/5/2016,ikiwa zimeshirikishwa shule kutoka Majimbo matano ya...
  5. H

    Elimu ya mlipa kodi yachangia kwa kiasi kikubwa mapato kuongezeka

    sawa sawa mkuu na mitazamo yako ya kuaminishwa,uhuru wa habari ni dhana pana amabayo nyie mnaichanganya sana na suala la bunge kuoneshwa live. binafsi siafiki bunge kutooneshwa ila si kwamba hatuna uhuru wa habari ... uhuru upo na ndio maana taarifa kama hizi za mapakusanyo ya kodi na mapato ya...
  6. H

    Elimu ya mlipa kodi yachangia kwa kiasi kikubwa mapato kuongezeka

    uhuru wa habari na hili la mapato linaingiliana vipi ndugu
  7. H

    Elimu ya mlipa kodi yachangia kwa kiasi kikubwa mapato kuongezeka

    kwa hili hakika yapasa kuwapa pongezi wananchi na amaafisa tra pia
  8. H

    Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

    yaani kaka dah umelenga sana maana hiyo ishu imeniumiza sana kichwa,kwani kila nikipumzika mwezi ama wiki mbili namkuta nazo nikawa nahisi ni mbegu za wengine ila now umenifumbua akili sana
  9. H

    Wivu Umemuua!!

    its hurt,
  10. H

    Urais wa JK, katiba na harakati za ushoga...

    cdhani yuuuuuu mpumbafu kiasi hicho
  11. H

    Wanaume wote wa JF someni hii,mmoja wenu ndo kafanya haya

    may be huyo mwanamke anakutaka thus y akakueleza matatizo ya mumeo ili umuone huruma na kumfariji.na kama kweli ni hvyo hlo gari la kuhongwa thus y hajui kuliangaikia nakupenda misaada kwa wanaume kama wewe ndio mana hata mumewe anachukia
  12. H

    je mapenzi ni imani au hisia

    kitu nachofahamu mimi kuwa binadamu tunapenda na hali ya kupenda ni hisia zilizo ndani ya moyo,lakini linapokuja suala la upande wa pili wa yule uliyempenda huwa tunaamini naye anakupenda kutokana na muonesho wa hisia zake.jee mapenzi ni hisia ama imani?
  13. H

    mpenzi wangu ananidanganya

    i get u wel kaka,acha nimpe nafasi
  14. H

    mpenzi wangu ananidanganya

    nina mpenzi wangu nampenda sana na naamini naye anipenda sana ila siku za hivi karibuni ameanza kuwa na tabia ya kuchat sana na mwanaume mmoja nikimuuliza anadai ni rafiki lakini mimi nakuta meseji wakiita honey,mumy,mpenzi na zaidi huwa mkali sana napotaja jina la huyo jamaa na hataki kabisa...
Back
Top Bottom