Kwa hiyo wasiende kwa sababu ya bum na pesa ya field? Hilo ni tatizo la bodi au chuo? Kama msomi unatarajiwa kuwa suluhisho la tatizo kwa kuwa na fikra pevu, umewahi kujua kiini cha tatizo lenu na mkatafuta ufumbuzi? Nikiwa nasoma kulikua na rumors za kijinga kuwa wahasibu wa chuo chetu wanaweka...
Bilioni inaanza na sh 1/=... kwa hyo kila sent ina jasho na thamani yake.
Rudi kwenye shelve chukua kitu cha bei kisha mwambie na ww umepungikiwa. Juhudi atakazo tumia kukubana ulipe ndizi atumie kukutafutia 100
Mimi kama mwanaume na kama mzazi maneno ya Martha Mlata yaliniuma sana na kunipa hasira. Kama angeona kuna tatizo pale basi angemfata Sugu personally, lakini yeye akataka suala binafsi la Sugu limpe yeye umaarufu kisiasa. Mbona yeye kaachika hakuna aliye mjadili? Watoto wake aliwalea ktk...
Mshana jr huko mbeleni utakuja kuwa mganga wa jadi ndugu yangu.
But hongera kwa kujitahidi kujua vingi ambavyo wengi tunapuuza, tunaridhika na tunachojua na kutovipa second thought
Mmh.. inahuzunisha, inasikitisha, inagusa na inafunza. Mimi nakushauri umshirikishe Mungu wako, maana hili ni zito kibinadamu. Kama mwanadamu naweza sema (bila uhakika) uko sahihi, lkn Mungu wako anaweza kukuvusha salama bila bahati nasibu
Naona wasio weza wanatangaza generality kwa wanawake wote, ila ukweli ni kwamba wapo na mm nina ushahidi, mostly ni wanawake wa kienyejj Ila kwa wanawake wa kisasa huwez pata hata mmoja
Unapo peleke kifaa kwa fundi/ customer service repair unapaswa kuwa umetoa data zako zote muhimu na hawezi ku na jukumu la kujibu kwa upotevu wowote ule wa data, jifunze hata kwa fundi wako wa mtaani kabla hujawafikia star times
Kumbe si ushauri wa kisheria tu, bali unahitaji pia ushauri wa kisaikolojia...
If u are well paid, go and find yourself a lawyer. Wacha kutafuta ushauri wa bure hapa wakati wewe unalipwa vyema
Sheria ambayo haijaanza kufanya kazi inaitwaje kwani? Maana tarehe ya hiyo sheria kuanza kufanya kazi haijafika bado, kwa mujibu wa tarehe iliyo andikwa ndani ya sheria hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.