Mzee Mwanakijiji,
Ingependeza kama kwenye andiko lako ungeweka hata sheria au kanuni yeyote inayozuia wanafunzi wa vyuo kuwa wafuasi wa vyama vya siasa na ungejenga msingi wa hoja yako hapo.
Hivi haya mahafali yanatofauti gani na yale ya kidini ambapo unakuta chuoni wanafunzi wa madhehebu /...
Tulishaambiwa nchi hii wananchi wa kawaida wanalalamika, na viongozi nao wanalalamika. Ndio haya tunayoyaona.
Tunahitaji watu wanaoweza kufanya maamuzi sio watu wanaoweza kulalamika. Sisi wananchi wa kawaida tunahitaji kufanya maamuzi mwaka huu maana viongozi wetu wameshindwa. Maamuzi sahihi ni...
Yanaweza kuwa ya kutunga lkn sio kwa hiyo sababu ya hizo tick 2 unayosema. Kama kwenye group wote mpo active hizo tick mbili zinatokea na hata wote wakisoma msg, tick zinabadilika zote kuwa blue.
Mara nyingi kwenye groups tulizonazo ni ngumu kukuta watu wote wapo active ndio mana hilo...
Huwezi linganisha nyomi ya kipindi hicho na hiki kwa namna hiyo. Hata tu kwa statistics za kawaida, idadi ya wa-Tanzania imeongezeka lkn pia uelewa na elimu ya watu wa kipindi hiki ni tofauti na kile lkn pia upinzani wa sasa una umri mkubwa na nguvu zaidi.
Record ya watu wanaohudhuria mikutano...
Dada Juliana, tutumie mifano ya vitabu vya Mungu ili kutujenga na kuelekezana maana tunaamini hekima yote yapatikana huko, lakini kazi ya kuhukumu binadamu wenzetu tumwachie mwenyezi Mungu pekee.
Kwanini kama walijua ni mtu mbaya hawakumfukuza mapema mpaka ameharibu chama. Kwanini amseme leo wakati ameshaondoka. Tangu 1995 anaharibu chama wanamwangalia tu. Mbona sasa kama ni hivyo wote ni wakulaumu kwa kulea uovu.
Sasa hivi ni ngumu kuwaelewa
Nianze tu kwa kusema, inawezekana waliopewa kazi ya kuandikisha watu hawakupewa mafunzo ya kutosha.
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na shida sana baadhi ya vituo, hususani kituo kilichopo Njiro eneo la Radio Tanzania. Wamekuwa wagumu sana kuandikisha watu eti kwa kigezo kwamba haujatoka mtaa...
Zitto mwenyewe amekubalikwamba kafukuzwa kama nukuu ya barua yake ilivyo hapo chini.
Mnamo tarehe 10 Machi, 2015, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA akiwa katika MakaoMakuu ya chama hicho na akiambatana na Katibu Mkuu wa CHADEMA, alitangaza kuwaChama hicho kimenifukuza uanachama.
Hivyo...
Mkuu Pasco unachoandika kinapingana hata na barua ya Zitto mwenyewe. Zitto mwenyewe amekubali kwamba amefukuzwa. Angalia nukuu ya barua yake.
Mnamo tarehe 10Machi, 2015, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA akiwa katika Makao Makuu ya chamahicho na akiambatana na Katibu Mkuu wa CHADEMA, alitangaza...
Dr Kitila. Dalili za mkosaji ni pamoja na kutumia muda mwingi kujitetea ingawa sio wote wanaofanya hivyo ni wakosaji. Ni kama vile ukiona mtu anahitaji sabuni nyingi na maji mengi wakati wa kuoga basi ujue yawezekana kachafuka sana na kweli akawa kachafuka kwa sababu hakuwa anafanya kazi au...
Dr Kitila Mkumbo kaa kimya. Kwa sasa kila unachoandika una haribu. Kitendo cha wewe kuendelea kutetea waraka wako wa siri ni kujidhalilisha mbele ya jamii ya wasomi. Waraka wako wa siri ulikuwa mzuri ulipokuwa siri. Baada ya kuwekwa hadharani sio mzuri tena. Kaa kimya utafute namna nyingine ya...
Wengine hamjamwelewa Kicheere. Hana maana kwanini yeye hajachaguliwa. Ana maana wapo wenye sifa nyingi wameachwa na wenye sifa kidogo wamechaguliwa. Wengine wamelazimishwa kuchaguliwa kwenye makundi ambayo wanaambiwa wana malengo yanayofanana ili mradi tu na wao wamechaguliwa. Uchaguzi wa baadhi...
Wafanya biashara wapewe hizi mashine bure (bila ya wao kuikopesha TRA), wapewe elimu na kisha iwe lazima kama ambavyo huwezi kufanya biashara bila ya kuwa na leseni na EFD iwe hivyohivyo. Hakuna kufanya biashara bila kuwa na EFD
Dokta anajidhalilisha sasa. Kwanini hakuyasema haya huko kwenye vikao vyao. Haya ni maneno ya sizitaki mbichi hizi. Muda si mrefu heshima yake kwenye jamii itashuka
Serikali haijatoa elimu ya kutosha. Ilijua ikitoa order kila mtu atatekeleza. Ni vyeme wafanyabiashara wapewe elimu ya kutosha na washirikishwe kikamilifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.