Balile ameongea vema! Pamoja na mambo mengi aliyoongea anasema kuwa anawashangaa Wabunge na viongozi wetu wanapotoa kauli kuwa hawafanyii kazi magazeti.
Ktk mazingira ya kawaida, madaktari hawa wana miandiko mizuri tu. Akiwa kwa job, loooh, balaa tupu. BTW, nadhani ni ubize wa kazi na idadi kubwa ya wagonjwa wanaokuwa attended.
Ingekuwa hivyo, matusi ya nguoni yasiokuwa na maana yoyote binadamu anayotukanwa kila kuchao angeamua kutoyadharau na kuyafanyia kazi, mapigano yangetamalaki hapa duniani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.