Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu wa haki aliekutetea pale Dodoma walipotaka kukunyang'anya uhai wako lakini wakashindwa! Asante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uzima wa Rais wetu.
Swali 1:
Mh. Kuna baadhi ya watanzania ambao hawakusoma lakini Wana ujuzi, Kuna wale wameishia njiani hawakumaliza...
Harafu we jamaa ungekuwa karibu ningekupiga na li ten thousand huwezi kuongea point vile harafu nikuache![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Watang'oka siku moja, hata iwe kwa kizazi kingine! And they will be treated like we are now! It's a mater of time! chuki muipandayo mspoivuna nyie, basi vizazi vyenu!
Inaonyesha ni kwa jinsi gani chuki imejengeka kwa tz wengi! Unafurahi DHL kufungwa? Unajua ni watz wangapi watapoteza ajira zao? Mkuu xng asante kwa maneno ya busara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.