Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake...
Mimi mwenyewe nilishapata Mrombo mmoja jina Celina Owisso sasa analiwa Dar,ni kama hao,umaskini na wengine ata kutokwenda shule kama huyo wa kwangu inawasababishia matatizo huku wakifikiri ujinga tuuu.
Katibu Mkuu wa CCM Bw Wilson Mukama ametetea matusi yaliyoporomoshwa na mgamba mwenzake Masinde, akisema alikuwa akijibu mapigo ya wapinzani wao CDM wakati wa kampeni Arumeru Mashariki.Swali ni je Mukama akipewa matusi kama yale atayavumilia na je mwenyekiti wao mnafiki yaani JK anakumbatia haya...
Ndugu Mjengwa,
Ushauri wako kwa CCM hii ya makuadi wa soko huria na wapenda kusifiwa hata wanapokuwa hawana walilolifanya linalostahili kusifiwa si sahihi kwa maoni yangu. CCM ya leo wala haistahili kupewa ushauri wako wa eti: "CCM ya sasa inapaswa kupanga mikakati ya kuendelea kuongoza...
Tayari Nape anazika ccemu,kavaa magwanda za makamanda wanazotumia kwenye mazishi,peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.