Search results

  1. M

    naitaji tempo wakubwa

    hapo usiende mkuu itakuwa imkula kwako nakushauri ukae tu home uwe unamsaidia bi mkubwa kupalilia bustani , mikataba bubu kama hiyo waachie sisiem ilishapitwa na wakati!!!!!!!
  2. M

    Msichana wa kazi anahitajika!

    Atakuwa analala na nani?
  3. M

    Hivi huyu alinipenda kweli?

    huyu kweli ni wa kutiwa moyoni! kutongoza hawezi akitongoza anaringa... jipange upya hiyo kibarua ilishaacha majani!
  4. M

    Bungeni Live: June 19, 2012

    umesomeka mtu mzima!
  5. M

    mama Mungu na akunyime akili kama hii..............lol!

    mzee kacheza fair game, kwa maneno machafu huyo dogo alomtolewa kwa wengine kwa sababu ya hasira tungelikuwa tunazungumzia matiba ya mazishi na rambi rambi! haki ya nani ding angu hata kama amezeeka vip kwa hizo kauli akikushindwa atakuvizia usiku akuchinje!
  6. M

    Anataka kunitumia?

    kazi ni kazi, cha msingi mkataba kwanza msaini (majukumu na wajibu wa mwajiri na mwajiriwa) usiwe mzembe kufatilia mafao yako baada ya kazi!
  7. M

    Zima taa!...mwenzio naona aibu!

    chakula gizani? utakujatafuna konokono!
  8. M

    Hivi huyu kongosho mwanaume au mwanamke?

    Google neno shemale, ndo kundi analopatikana huyo kiumbe.
  9. M

    "A woman of my dreams" 25years later...

    ninahitaji support kuiprove UJUHA IS DIRECT PROPORTIONAL TO UMRI! Msaada wadau!
  10. M

    Namtaka mke wa kakangu kimapenzi nifanyeje

    halafu nahisi kama kidogo changu hiki!!!!!!!!!! kama kweli utakuwa ndiye wewe jaribu kulala na mke wangu kama ndo shukrani ya wema niliokutendea na ninaozidi kukutendea utajua kwa nini nina pumbu moja! funza zimekuisha miguuni sasa unatamani kurudi kijiji.
  11. M

    She can't even text a well written and easily understood sms..gosh!!

    mwombe akufundishe lugha anayotumia ili mwende sawa!
  12. M

    To Mbowe and Slaa: Mtwara magamba mmewashika pabaya!

    :evil::evil::evil::crazy:
  13. M

    Eti ananichukia sana...

    atakuwa na mimba isiyojifungulika, ndo tabia zao!!!!!!!!!!
  14. M

    Dada wa Kikenya alipotaka ku..Aliniambia huku ananiangalia machoni!!. . . .

    ulishazoe kula kwa shida ndugu, ila hukumtendea haki dada wa watu...... mlipewa bure nanyi toeni bure... huku kubaniana mpaka lini???? inanikumbusha nilivyojisikia one day nilivyokuwa na shida nacho nikannyimwa!!!
  15. M

    Mdahalo Shirikishi: Watanzania Waarab au Wahindi wako wapi kwenye uongozi wa taifa letu?

    Nendeni kwao hao wahindi muone kama hata kazi ya kufagia choo mtapewa.... wakati watu katika nchi zao wanatengeze mazingira ya kuwafeva wananchi wao kwa kuwapa kipawa mbele sisi tunajiandaa na kubuni njia za kuwafeva wageni.... nchi nyingi duniani kigezo cha kwanza cha kuajiri lazima uwe raia...
  16. M

    Unanitega..

    mwonekano wa kisima chenye maji ya chumvi
  17. M

    Msaada wa haraka! Fungua hapa.

    anachapwa penalt kwenda division inayofata i.e 4 ya mwisho!
  18. M

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    nitarudi nikishaanza kunywa na kufanikiwa kuacha!
  19. M

    Nimekukomesha mshenzi wewe, bastard!

    huyo aliyataka mwenyewe, wenzake chumvini wanatumia ndimi yeye alikuwa anatumia meno anamuumiza mwenzake matokeo yake mwenzake kayachukia meno!
  20. M

    Kwanini Wanaume wengi hupenda kupiga wanawake?

    Punda bila mjeredi haendi!!!!!!
Back
Top Bottom