hapo usiende mkuu itakuwa imkula kwako nakushauri ukae tu home uwe unamsaidia bi mkubwa kupalilia bustani , mikataba bubu kama hiyo waachie sisiem ilishapitwa na wakati!!!!!!!
mzee kacheza fair game, kwa maneno machafu huyo dogo alomtolewa kwa wengine kwa sababu ya hasira tungelikuwa tunazungumzia matiba ya mazishi na rambi rambi!
haki ya nani ding angu hata kama amezeeka vip kwa hizo kauli akikushindwa atakuvizia usiku akuchinje!
halafu nahisi kama kidogo changu hiki!!!!!!!!!!
kama kweli utakuwa ndiye wewe jaribu kulala na mke wangu kama ndo shukrani ya wema niliokutendea na ninaozidi kukutendea utajua kwa nini nina pumbu moja!
funza zimekuisha miguuni sasa unatamani kurudi kijiji.
ulishazoe kula kwa shida ndugu, ila hukumtendea haki dada wa watu...... mlipewa bure nanyi toeni bure... huku kubaniana mpaka lini???? inanikumbusha nilivyojisikia one day nilivyokuwa na shida nacho nikannyimwa!!!
Nendeni kwao hao wahindi muone kama hata kazi ya kufagia choo mtapewa.... wakati watu katika nchi zao wanatengeze mazingira ya kuwafeva wananchi wao kwa kuwapa kipawa mbele sisi tunajiandaa na kubuni njia za kuwafeva wageni.... nchi nyingi duniani kigezo cha kwanza cha kuajiri lazima uwe raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.