Haina maana nimekutana nalo ila ni maneno ambayo wanawake wanapenda sana kutumia siku hizi na mara nyingi ukiona mwanamke anaongea haya ujue tayari mambo yameanza kuwa mengi na wanatafuta justification ya tabia zake.
Unapokutana na mwanamke anaongea au kushabikia kauli hii “Chunga sana akili yako mwanamke akikuchoka anakuwa adui" fahamu kuwa huyo kichwani hamna kitu na hafai tu kuwa mke sema Mungu amempatia nyama za kuishi nazo tu.
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wanawake ambao wanashiriki kupoteza ufahamu wa kimwili au akili wapenzi wao kupitia waganga wa kienyeji. Wanawake wamekuwa wepesi sana kwenda kwa waganga wa kienyeji kutaka kuroga wanaume wao ili waweze kuvuna mali
Au kumfanya mume au mpenzi wake asiwe...
Mdau anaomba ushauri:
Jamaa amewahi kuwa na mwanamke kwa muda wa miaka 10 wakiwa kwenye mahusiano wa kimapenzi, walifanikiwa kuanzisha biashara ikasajiliwa kwa jina la mwanadada ambaye mchumba/mpenzi wake na pia wakajenga nyumba kupitia kipato cha mwanaume na walifanikiwa kuzaa watoto wawili...
Idara ya Tamisemi embu mjitathimi kwanza, kuna majina yali leak mwezi wa September ya Uhamisho kwani watu hawajatolewa au kupewa Uhamisho kwa muda mrefu sana na mbaya zaidi inaonekana wengi mnataka rushwa na kujuana wakati barua za watumishi zimepitishwa kufuata utaratibu.
Inakuaje mnashindwa...
Asante sana kwa ushauri, ila nimejaribu kwenda mpaka Muhimbili hila mafanikio. Labda niendelee kuangalia kuwaona madaktari wengine na hospital nyingine hapa nchini.
Habari wadau, nina tatizo la tumbo linatoa mngurumo ni kwa muda mrefu sana. Nimekwenda hospital nyingi na kuonana na madaktari wengi pamoja na kutumia madawa mbalimbali lakini sikuweza kupata suluhisho la tatizo langu. Kila daktari alikuwa na mtazamo wake wapo waliohisi kuwa nina tatizo la...
Pia ningependa kuwahasa wananchi wa mkoa wa Mtwara na Lindi yaani kusini nzima kuwapuuza wabunge au watu wanaokuja kuomba kura kutoka CCM kwani itikadi na utekerezaji wao hakuna tofauti na kama mnahitaji kubadili kanda ya kusini. Mfano, Hivi punde pia nimesikia Nape Nahuye anakuja jimbo la Mtama...
m.facebook.com/TAJOA?refid=28&_ft_=qid.5910730000495572446%3Amf_story_key.-2878228964847103542
kuna baadhi vyombo vinareport hv, jamani hii nchi ipo wapi saiz na tunaenda wapi!?
m.facebook.com/TAJOA?refid=28&_ft_=qid.5910730000495572446%3Amf_story_key.-2878228964847103542
kuna baadhi vinareport hv, jamani hii nchi ipo wapi saiz na tunaenda wapi!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.