Habari wana JF.
Samahani, naomba kama kuna mwenye kufahamu iwapo mtu amesahau password ya kwenye account ya Salary slip portal afanyeje. Maana namba yao waliyoweka kwenye website yao haipokelewi.
Natanguliza shukrani.
Habari wanajukwaa. Mwenye ufahamu na biashara ya kusafirisha mchele kutoka Ubaruku (WIlaya ya Mbarali Mkoani Mbeya) kwenda Dodoma naomba anieleweshe hapa, kuhusu gharama na namna ya kupata malori yanayobeba mzigo.
Asanteni.
Habari wadau.
Nilikuwa na wazo la kufanya biashara ya kufungasha mchele kwenye kilo 5,10 na 20 na kuuza kwenye fremu. Je, kwa biashara ya aina hii natakiwa kuwa na vibali vya aina gani kutoka serikalini?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dawa ina athari kwa kweli. Tulitumia nyumbani tuliumwa mafua makali na asubuhi tuliamka miili inauma Kama tumepigwa. Tulivyoacha kuitumia tukapona, dawa ya rungu ni majanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.