Usijiue binti yangu, Mungu amekuonyesha kuwa huyo sio mtu sahihi kwako haijalshi mmepanga nini bali ni nini mpango wa Mungu ktk mahusiano yenu, kwa hiyo kama ameamua kuwa na mahusiano na mwingine basi wewe mngojee Mungu akupe Mume wako. Mungu ni mwaminifu hadanganyi, hashindwi na ana upendo wa...
I am very sorry to say that I suffered the same problem and they replied to me this morning. I would like to advise them to apologise to all of us, as we still need their service.
If this happens I will be preaching first and second service in Dar and third at around 1600hrs in Isamilo Mwanza and then will board the last flight at around 1900hrs. But yangu macho ndugu zangu, you are Blessed!!!
Kusamehe siku zote ni ngumu kwa sababu masharti yake ni kuwa usiposamehe waliokukosea na wewe hutasamehewa na Mungu utakapokosea. Kwa hiyo hatuwezi kusema kuwa hatutasamehe eti kwa sababu inauma katika hayo maumivu ni mpaka usamehe na hii ni kwa wote. Na ilianza na Mungu mwenyewe kutusamehe...
Samehe mara saba sabini and God can give you a second chance. Ni kwa sababu huyu dada alikamatwa tu lakini na yule ambaye hakukamatwa na alifanya hivyo je?? uyu dada atubu kwa mchumba wake, amsamehe na wafunge ndoa waendeleze maisha yao. Kwani ni nani asiyetenda dhambi?????
NUMBER ONE IS EDUCATION, NUMBER TWO IS EDUCATION, NUMBER THREE IS EDUCATION AND NUMBER FOUR IS THE RULE OF LAW. Hon. Freeman Mbowe receive my Hi 5, wherever you. This is all about what we miss in Tanzania regardless of all resources we have from Mwanza to Mtwara, from Dar to Kigoma. God help us!!!
Katika hali inayoonyeha kwamba Serikali bado haioni uharaka na ulazima wa kuchukua hatua, wakati bunge lilipokaa kama kamati tarehe 28 Julai 2012 kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini nilitaka ufafanuzi kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini kuhusu utekelezaji wa maazimio hayo ambayo...
Hili jambo linahitaji ufafanuzi wa kina na kwa kusema kweli mpaka leo sijamwelewa vizuri Mheshimiwa Waziri Mkuu nitawaomba viongozi wa juu wa dini (Maaskofu, Mitume, Kardinali Pengo, Manabii) watusaidie katika eneo hili na ninawaomba watoe tamko juu ya jambo hili. Asanteni!!
Sasa ndugu yangu kama ni form four failure without certificate sasa ataenda wapi??? Ndio anataka kwenda kutunga hizi ambazo hazina maudhui yoyote?? Basi badala ya kuandika hiyo bongo flavour alihitaji mshauri ili amsaidie. Kwani angemaliza hata na D mbili au tatu potelea mbali angepata cheti...
Kufanya jambo lolote bila ya kuwa na msingi wa Elimu hautafanikiwa au ukifanikiwa itakuwa ni asilimia ndogo kulinganisha kama ungekuwa na elimu. Ni vizuri huyu kijana akajua kuwa alitakiwa kuwa na msingi mzuri wa elimu walau afaulu form four, ili imjengee msingi wa kipaji chake. Kuimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.