Search results

  1. B

    Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

    Hapo mwisho kwenye maslahi umma ndo akili ilianza kutulia lkn kwa bahati mbaya haujapaendeleza
  2. B

    Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

    Bila Slaa Chadema, kinabaki Cha Walutheri. Waislam wana ACT Wazalendo. Wakatoliki hawana pa kushika, kura za Wakatoliki wengi zitategemea msimamo wa TEC
  3. B

    CAF: Draw ya makundi: Simba Group B, Yanga Group D

    Kutoka EAC ya Zamani
  4. B

    Vyama vya Upinzani Tanzania vinashindana, vikipata mshindi ndio mapambano dhidi ya CCM yataanza

    Asalam, Tukumbushane, 20% wanataka vyama vingi, 80% wanaitaka CCM kama Chama Pekee. Hapajakuwa tena na kura za maoni tofauti na hizo. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu hayajawahi kushinda huu utafiti wa Je tuwe na vyama vingi au lah. Hoja, hii 20% haina rangi kiasi kwamba unaweza kusema ni yule na...
  5. B

    Wanadiplomasia Wabobezi wameanza kupotea na ni adimu sana Tanzania miaka hii ya karibuni

    Na ukitofautiana na wateuzi hata kama umetoa wazo bora lakn liko tofauti nao unakaa kando
  6. B

    Wanadiplomasia Wabobezi wameanza kupotea na ni adimu sana Tanzania miaka hii ya karibuni

    Ubalozi kwa Tz ni sehemu ya kuwatupia watovu wa nidhamu. Hakuna clear policy.
  7. B

    RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

    Tuna viongozi hawajakomaa. RC ana vyombo chini yake na juu yake. Wako wenye vyombo hivo. Awaagize.
  8. B

    Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

    Ni vita dhidi ya ya Ukristo. Tunamsubiri Lusekelo on this
  9. B

    Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

    Kwanini hao wahandisi wanaosimamia hayo mabwawa walikubali?
  10. B

    Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

    Kwanini na wewe ni msahaulifu kiasi hicho? Mwaka jana walisema Magufuli hakuwahi kufanyia maintenance hivyo wanazima ili wafanye jambo hilo
  11. B

    Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

    Mwaka jana si ndo walisema wanazima wafanyie matengenezo
  12. B

    UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

    Sasa inaingia Team Mpya ya DB na Kampeni za 2025. Hili taifa litaliwa hadi liliwe
  13. B

    Marekani yatangaza ufadhili mpya Tanzania

    Dah. Og kilikuwaje kwani
Back
Top Bottom