Kwanza kuna unatumia maji ya chumvi kuoga na sabuni za kawaida huo mba huwezi kutoka...mm nakushauri utumie sabuni za magadi na pia uwe unajisugua vizur kchwani unapooga.
Habar zenu wana jamiiii...
Naomba kufaham ni software gani ambayo unaweza install kwenye simu na kuweza kapata sms na location za mpenz wako bila ya yy kujua....?
Habari za asubuhi wana jamii,
Ningependa kufahamu tamaduni za haya makabila ya wamatengo na wangoni ambao asili yao ni Songea. Pia ningependa kufaham tabia za watoto wa kike kutoka kwenye hzo kabila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.