Specs; iSO 7.1, 16 Gigs, Black color, clean unlocked IMIE and open iCloud.
A few scuffs on the front screen, like new on the back.
Offer: Tsh 250,000/-
PM for contact!
Nauza iPhone 4 used, 16 Gb, open iCloud and Unlocked IMEI. A few scuffs on the front screen, no accessories. Bei Tsh 250,000/-
Interested buyers send a PM.
I think its more of cultural thing than a principle issue which Pasco is troubled with. A working culture that has made the Public Service a joke 'shamba la bibi'...yaani mtu unaharibu kazi unajua, unadanganya ila kwakuwa ni kulindana au kuficha uozo basi uitwe pembeni uambiwe kwa upole. Hivi...
Ukisikia wanasiasa waliofirisika fikra ndo hawa. Wao billion zinapigwa mbele yao kimyaaa, Tanzania ni zaidi ya uijiavyo. Sasa hapo amejibu hoja gani kuwa wanachunguzwa, so what?
Hakina reli mpya zaidi ya Tazara ilyojengwa kwa juhudi za Mwl. Pamoja na kuwa ni standard bado inahujimiwa na wenye vitengo walioweka malori yao barabarani. Reli nyingine zote zimejengwa na mkoloni sema kubadili/ku upgrade reli sio kujenga.
Dstv hawawezi kuonekana kamwe Azam tv. Wale ni business competitors so they logically don't do that. Mana wote wana Satellite Tv package itakuwa ni wehu kukuta channel ya yeyote kwa mwingine. Kazi ni kwako weye kuchagua wataka jiunga na nani kati yao.
Kama umeshindwa kuongoza hiyo date kama mwanaume wacha upewe exposure na watoto wa chuo. Huwezi pangiwa kwenda date sehemu gani tena siku ya kwanza, alikukomoa tu ndo ujue unaishi miji ila hujui mambo ya mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.