Wadau naomba msaada,
Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama...
Asante nyaningabu, ndio kaiweka baada ya mkwaruzano. Hajawi kuweka hapo awali tangu amenioa.
Kinachonikwaza ni kuwa tumetofautiana amekimbilia public, kuna watu watahoji au kutaka kufahamu nini chanzo cha kuweka hiyo picha na ndipo anaweza kuweka mambo ya ndani kwenye public.
Ndio kuna picha...
Habari wana jamii, Ni takribani miaka miwili imepita tangu nimeolewa na tuna mtoto mmoja. Mume wangu huyu alifiwa na mke wake wa kwanza miaka mitano iliyopita na akamwachia watoto wawili ambao tunaishi nao pia.
Basi mimi sio mzuri sana na mtembeleaji wa social network sababu ya ubusy wa kazi...
Habari
Gari aina ya HONDA CRV inauzwa hapa jijini Mwanza. Inaingia nchini March, 2015.
Namba ya usajili ni DDM, bei ni 10m. kwa mawasiliano piga namba. 0765072213
Picha zitafuata kesho
Hi all
Najua kuna mila na desturi za kibantu ambazo huwaga zinaingiliana. Sasa nauliza hivi suala la mwanaume kupeleka posa huwaga anapeleka baada ya kumtambulisha mwanamke kwao au kabla.
Kuna couples nilishagaziona wanaanzia kwao mwanamke na kuna zingine wanaanziaga kwao mwanaume. Je...
Kristu.....
Kuuliza sio ujinga, ikitokea umeachana na mpenzi wako kisha ukapata mchumba. Je kuna ulazima wa kumjulisha x wako kuwa umepata mchumba? Let say mnaishi mikoa tofauti ambapo sio rahisi kwa yeye kupata habari zako isipokuwa kupitia kwako?
Ukishamjulisha na mipango ikaendelea...
Waweke upande mzima wa kadi ili tuone aina gani ya gari, sio kuweka upande mmoja hata bajaj au boda boda inawezekana kuwekwa kwa upande mmoja!
"You can fool all people but not all the time!!!!!!!!!!"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.