Kwa yeyote mwenye NGO'S, company, Industry na mwenye uhitaji wa fani kama hii nipo tayari kwa muda wowote nitakao hitajika. Utalaamu wangu ni kama ifuatavyo;
computer application:- Microsoft Office (word, Excel, Power Point), Auto Card, Arc card, Epanet and Internet Explorer...
chuo cha vunjwa vioo vyote na wanachuo wamepigwa vibaya mno wengine walazwa na wengine hawaeleweki walipo kisa ni mwanafunzi wa kantalamba kupigwa na kunyang'anywa simu wakiwa na demu wake kibindi cha disco hadi sasa hakieleweki. maana ni shule nzima ilivamia chuo.
Tunako elekea kubaya sana na imebaki miaka mitatu ya dhiki na tabu tuombe ndugu na jamaa wasiugue hatuna watetezi wa kweli ila tukiamua mimi na wewe tunaweza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.