Wacha upuuzi wako. Kama huna habari ya kweli ni vyema kunyamaza. Sehemu zote unazozitaja hata huzitaji sawasawa. Ngara ni Tanzania na wahangaza sio watusi ni wahangaza. Wana clans nne na lugha yao ni moja, kihangaza ambacho hushabihiana sana na kirundi, kinyarwanda , kiha na kisubi.
Inasikitisha kwamba askari wetu wameuawa kikatili. natoa pole kwa familia zao. Lakini ukweli pia ni kwamba maaskari wengi wanaokuwa mipakani hasa Mugoma, Kabanga, Murusagamba na Rusumo wanjifanya Miungu watu. Hiingii akilini askari aliyefundishwa jinsi ya kumkamata raia hata kama ana silaha...
Inasikitisha kuona mtanzania kiongozi wa leo kukumbatia wageni na kudhalilisha wananchi wenye nchi. Hawa wageni walikuwa wanaongea kana kwamba wana haki hata ya kulindwa na serikali ya Tanzania !! Watu wa ajabu kabisa. Ni vyema watimuliwe warudishwe kwao na mifugo yao na hao viongozi uchwara...
Mkuu wa mkoa ana matatizo yake. Asituvurugie majina ya enzi na enzi. Badala ya kufikiria jinsi ya kuleta maendeleo yeye yuko kwenye mambo yasiyo na tija !!
Rwanda ni nchi ya utata mtupu unapozungumzia ukabila. Hawa jamaa wote wanazaliwa na ukabila na wanakufa na ukabila. Mungu awasaidie wapate kiongozi ambaye amestarabika na kuona mbali kwamba ukabila hausaidii kitu bali unauwa umoja na maendeleo. Kagame bahati mbaya si mtu huyo mkombozi. Ni...
Kama maneno waliyozungumza yanawakilisha msimamo wa CHADEMA basi chama hicho hakifai kwa kuwa wachchezi hawana haki ya kuwa huru kufanya uchochezi, ni haki kuthibitiwa kwa kila hali kwa usalama wa wengi. Kwa hakika mzee Karume tunam-miss kwa swala kama hili maana saa hizi angeshalimaliza kitambo...
RC ameonyesha uoga wa hali ya juu. Kama ni marufuku ni marufuku kwa mihadhara ya uchochezi. Lakini kama ni mihadhara ya kueneza dini husika kwa nini nayo ipigwe marufuku ? Wachochezi wote wa dini zote iwe marufuku kufanya mihadhara.
The Prof is very much right. Any sensible person should support his moves in the current situation where most of our politicians are busy amassing wealth for their families. Keep it up Prof. Its better to remain with our minerals and petroleum in the ground than foolishly handing them over to...
Haya malipo ni wizi na usumbufu tu. Fire sioni uhusiano wao na magari. Gari likiungua unapata fidia toka bima!! Hawa askari wa fire walikuwa wasumbufu sana pale BP/Bandari. Wanadai rushwa kama haki yao eti kwa kuwa hana sticker !! Hivi mtu gari lako likianza kuwaka watu wa fire watakuja kuzima...
Dictator he is. But the fact is those people require the type of Kagame for discipline and development. Ni wakorofi sana. Na ukabila ndio unawatafuna mpaka mwisho wa ulimwengu. Lakini mambo ya kuingia Congo atakavyo si sahihi.
Kama Ulimwengu si raia wa nchi hii basi wananchi wote wa mipakani si raia wa Tanzania. Watu waliokuwa ni fikra finyu ndio wanaokuja na hoja kama hizi za kibaguzi na kijinga badala ya kufikiri na kutoa hoja inayoeleweka. Ulimwengu ni Mtanzania na amefanyia nchi hii mambo mengi likiwemo la kuwa na...
Hatujui kuchagua vipaumbele. Ujenzi wa mji si kipaumbele hata kidogo kwa nchi yetu maskini. Vipaumbele vinatakiwi viwe nishati, elimu, maji, mawasiliano, barabara na afya.
Kwa watu wanaojua jinsi serikali inavyofanya kazi, sioni kosa la huyu mama. Tatizo ni kwamba ilibidi watu kadhaa kutolewa kafara kupunguza jazba za walalamikaji. Mama huyu ni mchapa kazi sana na anajua analofanya. Ni vyema kumzungumzia mtu kama unamfahamu vizuri kuepuka kumwonea.
Hakuna mtu mwenye rangi nyeupe asiye mbaguzi kwa mtu mweusi wanatofautiana tu pale mwingine anapoonyesha dhahiri na mwingine inakaa rohoni na kujifanya mwema kwa kuwa kuna kitu cha kumnufaisha anatafuta kwa mweusi husika. Wazungu, wahindi hata warabu (ingawa wengine ni weusi kuliko hata sisi)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.