Unaweza kumulza mtu, we ni maskin akajbu ndiyo, ukimulza kwa nin atakujib hana hela, ukimulza ukimpa hela km milion tatu ataifanyia nin il kesho asiseme tena yeye ni maskin hataweza kukujibu. Hiyo ni kwa sababu hana akil ya kuweka malengo, hana mpanglio wa maisha yeye anaish mrad kunakucha na...
siyo hivyo 2 Topical, mtu asubuh na mapema anaamka anakaa kwenye kochi anatazama tv. Program yenyewe music, nusu saa badae ananunua vocha elfu tatu elfu mbili, bdo hajala, na pengne hana kaz, unadhan huyu tutamwita maskin asiye na fedha. Akil ndo kila kitu.
Unaweza ukawa na fedha lakin kam akil ya kupambanua mambo huna, bas bdo tutakuita maskini. Ni kwel umaskin ni pamoja na maradhi, ujinga, rushwa, na mengne meng. Hivyo tunahtaji kuelmika pia ndipo tutaanza kutoka katika umaskini wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.