Umenena vema mkuu, kitila Mkumbo ni mtu makini sana, na siasa zake zilikuwa perfect, laiti asingekuwa na hii kashfa na kwa kupitia CHADEMA angemshinda Savimbi.....lakini wacha tujiulize, kama amekiri usaliti na kuomba msamaha.....hamna jinsi kamati kuu ikajiridhisha naye na kuendelea na uanacham...
Hili nalo ni neno, wakati wakihitimisha mkutano wao na waandishi wa habari, aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Dr. Kitila Mkumbo alisema......"kule iramba ninakotoka, kuna mwananchi mmoja anaitwa Mwigulu Nchemba, amekuwa kila siku ananiponda katika kila jambo, nashanga eti sasa hivi...
Kwa hii post yako nimeshagundua tatizo lako...........ni kwamba mfumo wako wa haja
kubwa umeungana na ule wa fahamu sasa sometimes una-kusudia kutumia wa fahamu
lakini kwa bahati mbaya ule wa haja kubwa unakuwa wa kwanza ku-react. Pole sana......
kwa ushauri tu kamuone Dr. Paurine bado...
Dah, mbona sasa naiogopa Tanzania nchi yangu! Nchi niliyoipenda na inayosifika kwa amani kote ulimwenguni....lakini leo imekuwa ni nchi isiyoaminika tena kwa lolote! Mungu baba, kwa niaba ya raia wenzangu....naomba utulindie nchi yetu!
Waaaaaoooooooooooooooooh.....! hadi kieleweke, VIVA CHADEMA. Huyo Cheyo naye alishalewa madaraka na kujiona kama mwana-CCM, wacha akapumzike huko Bariadi!
Ndugu zangu,
kwa muda mrefu, takribani tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 upite hadi sasa tukiwa tunaeleka mwaka 2015 ambako tutakuwa na uchanguzi mkuu mwingine, kuna kitu nimekiona. CCM kwa ufupi hakujatulia na ni kama vile hawana tena imani ya kurudi magogoni. Yaani wanafanya lolote lile bila...
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!
Wapendwa,
kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.