Maelezo yake kama yalivyo:
Nilikuwa nafanya kazi kwenye shirika moja la umma hapa nchini.
Kulitokea tukio la wizi mm na wenzangu tukakamatwa na kupelekwa mahakamani, kesi ile imeunguruma na hatimaye tumeishinda jamhuri kwa mahakama kutuona hatuna hatia.
Kwa upande wa kazini tulikuwa...
Kuna rafiki yangu alikuwa anafanya kazi kiwandani sasa ukatokea wizi fulani yeye na wenzake walipelekwa mahakamani na kusimamishwa kazi hapo hapo lkn waliendelea kulipwa mishahara.
Sasa kesi iliyoko mahakamani wameshinda na mahakama imesema hawana hatia je kwa wajuvi wa sheria nini kinafuata...
Mleta mada una visa na Yahya mimi sioni kosa alilolifanya wote tulikuwa tunaangalia usidhani una tv peke yako tu.
Alichokuwa anakifanya Yahya alikuwa anachombeza na alikuwa akimpa muda mwingi tu Heche kuongea anayoyajua.
Mleta mada upo sawa kabisa nilikuwepo juzi jumamosi kwenye uchaguzi kitongoji cha mrusi pale stand mpya kasulu mjini watu walikuwa wamejitenga waislam pembeni na wakrsito pembeni maka mm nikawa sielewi.
Baada ya taarifa ya habari TBC walieusha marudio ya hotuba ya Jk. Wakati hotuba inaendelea mm nilikuwa kibarazani kwangu nimetulia na rafiki yangu ambaye ni mwanajeshi wa jeshi la Polisi.
Ni wakati sasa Kikwete anazungumzia ishu ya udini ghafla rafiki yangu akasimama na kung'aka eti yaani...
Hapana mkuu fools day kwa ishu serious kama hizi huwa mwisho ni saa nne asbh hii ametangaza Nchimbi hazarani na imerushwa taarifa ya habari saa mbili usiku. Sasa mm sielewi huku wengine wanazika wengine wanapiga baga na pizza ikulu.
Yaani Kikwete anaita watu Ikulu tena JKT watu waliokuwa wanafanya kazi kama sehemu ya wajibu wao, hii ni kebehi kubwa kwa watu walipoteza ndugu zao na hasara mbalimbali kt dhahama hiyo iliyosababishwa na uzembe wa serikali.
Nilitegemea Jk hizo hela atoe rambirambi na hao watu awalipe night...
Ktk taarifa ya habari Itv usiku huu wakati zoezi la uokoaji likifungwa rasm waziri wa mambo ya ndani ametoa taarifa ya rais kuwa anawashukuru sana vikosi vya vyeshi na watu binafsi waliojitolea kufanya zoezi hilo na amewaandalia dhifa ya chakula cha mchana ikulu April 8.
Sina comments.
Tanzania, tanzania, nakupenda kwa moyo woote!
Nchi yangu Tanzania, jina lako ni tamu sana.
Nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni heri mama weeee!
Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo woooote!
Niliwahi kusema hapa Tanzania kuishi miaka 50 ni sawa na kuishi miaka 100 nchi nyinginezo. Yaani...
Hii nchi bwana yaani waziri wa Viwanda na waziri wa uchukuzi wote wanachoma mafuta toka Dar hadi Mtwara eti wanaenda kukabidhiana makontena. Duh! Kweli shamba la bibi.
Ni kweli hatuwezi tukaishi milele duniani lkn nimeangalia kwa ufupi tu hayo majanga tu uliyoyaorodhesha hapo bila kuweka ya ajari barabarani naona kwa Tanzania Life span ni ndogo sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.