Kweli kabisa ndugu. Kwa vifaranga,,ukiweza kudhibiti unyevu na baridi bandani mwao. Unatoboa mpaka hautoamini.
Ukija kwenye lishe usiwe mbahili kama una malengo ya soko zuri la kuku wako. Wape lishe nzuri watakufurahisha. Chagua mbegu kubwa hususani pia mitetea,,maana wengi hudhani madume pekee...
Hongera sana. Umepiga hatua. Mimi huwa nafanya hivi. Nawasubirisha mitetea itage na kuatamia kwa wakati mmoja. Wakishatotoa, nachagua tetea moja lenye umbo kubwa na mpole nampatia vifaranga wote..mf 20. Kisha vifaranga nawalisha STARTER kwa muda wa wiki mbili wakiwa na mama yao. Maji natumia...
Safi sana ndugu. Nimevutiwa pia. Je nikihitaji vikonyo vya hiyo michungwa ya valencia kwa ajili ya bading/pading kwa huku mwanza, napataje. Naomba muongozo. Asante
Habari wana jamvi. Samahani nahitaji msaada, miti yangu ya parachichi inapukutisha maua. Pamoja na milimao. Je nitumie mbolea ipi kuzuia hiyo hali. Maana samadi huwa naweka kabla ya masika kuanza. Asante
Jisajili TAeSA ndugu,,halafu tuendelee kusubiri. Hata mimi nilishauriwa hivyo. Kwamba taasisi nyingi za serikali zinachukua interns kutoka Taesa. Katika kipindi cha kusubiri pia tuendelee na ufugaji wa kuku, angalau tuwe na uhakika wa protini ya kutosha mwilini tukiwa tunangoja watu waupige mwingi
Inamaanisha eneo unaloingia lina watu wenye ulemavu wa UKOMA, mara nyingi kutembea kwao huwa ni wa shida sana, so SLOW DOWN.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.